mtoto.news

Categories
Health Latest News

Kenya kuanzisha hospitali maalum ya Kuhudumia masuala ya akili kwa watoto

Kenya inaanzisha kliniki maalum ya ubongo kwa watoto itakapofikia katikati ya mwaka ujao, hii ni katika juhudi za kitaifa za kukabiliana na pengo la kuwahudumia walio na mahitaji maalum kwa kuwapa matibabu ya hali ya juu. Kliniki ya Wezesha Watoto itaanzishwa katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Moi. Hospitali hiyo itakuwa wazi kwa umma […]