Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]
Category: Education

Directorate of children services representative Charles Ondongo, leads pupils of Mukuru Primary School, Nairobi, in the official launch of the Safe Community Linkages for Internet Child Safety (Safe CLICS) programme. Photo courtesy of ChildFund Kenya. ChildFund Kenya has launched Ksh 115 million project to help fight Online Child Sexual Exploitation and Abuse (OCSEA) in […]

Ukame mkali katika kaunti ya Marsabit unatatiza masomo ya watoto, huku wengi wao wakilazimika kuacha shule.

Clubs are meant to equip learners with skills to help them in future. Being an organization of people with a common purpose or interest, who meet regularly and take part in shared activities. Clubs should be able to equip students and pupils with the necessary skills to help them in future. In Kenya the Ethics […]

Mtaalamu Mwandamizi wa Mpango wa Elimu katika Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO),Saidou Sireh Jallow, aliliambia kongamano la elimu kuwa Kenya imeweka kipaumbele katika uwekezaji wa umma katika elimu, hii ikisababisha mwelekeo wa kupanda kwa viashiria vingi vya maendeleo ya elimu. . […]

Two Non-profit and Non-Governmental Organizations namely Inua Dada Foundation and Mama Ibado Charity (MIC) have partnered to bring to an end period poverty in Kenya. The two signed a 1-year partnership that goes towards advocacy for the girl-child and ending period poverty. According to research, about 1 million school-going girls in Kenya miss out on […]

A study conducted in 2021 and published last week in the Journal of Advances in Sports and Physical Education has revealed that three in every ten school-going children in Kakamega county are overweight. The study involved a sample size of four hundred children in twenty-four schools, both public and private. According to the findings of […]

Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]

The Kenya National Library- Meru Branch has come up with an outreach program that includes vulnerable children as part of their literacy program. They include street children and those living in children’s homes. The head of ICT in the KNS Meru branch Mr.Isaiah Lameck revealed that they aim at transforming street children and encouraging the […]

Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]