mtoto.news

Categories
Child Rights Climate Change Education Education education

Zaidi ya Watoto Milioni 3.5 Kukosa Shule mnamo Januari 2023 Kutokana na Ukame :Save The Children.

  Zaidi ya watoto milioni 3.5 nchini Kenya wako kwenye hatari ya kukosa kuenda shule wakati zitakapofunguliwa kwa muhula wa kwanza hapo Januari mwaka ujao kwa sababu ya ukame unaoendelea, shirika la misaada ya kibinadamu la Save the Children limesema. Utafiti wa 2021 wa Global Out of School Children Initiative ulibaini kuwa kuna zaidi ya […]

Categories
Health Latest News

39,800 Children in Marsabit are Malnourished as Drought Bite

Over 39,800 children under five years and about 5,500 pregnant and lactating mothers are malnourished in Garrisa County. Of these, only 23,500 children and 3,900 mothers are in the food programme by the government and humanitarian partners. In addition, so far, four children have died since January due to malnutrition-related complications in the county. This […]

Categories
Education Education education Uncategorized

Kilifi: Ukosefu wa madarasa, changamoto kwa utekelezaji wa CBC

Wakati kikundi kazi cha wanachama 49 kinajadili jinsi ya kurekebisha sekta ya elimu kwa mtaala unaozingatia umahiri kama kazi yake ya kwanza, walimu na wanafunzi katika maeneo ya mbali yaliyokumbwa na ukame wanatatizika kuendana na majukumu mapya kulingana na mtaala. Lakini kazi hizo ni kidokezo tu kwani ukosefu wa vyumba vya madarasa umefanya mchakato wa […]

Categories
Education Education education Latest News

Makali ya Njaa yawaweka watoto nje ya madarasa

Shuleni Kavunzoni, watoto wengi wanalilia njaa huku wengi wao wakikosa kuwa makini darasani, ni misimu minne sasa isiyo na mvua mjini Ganze kaunti ya kilifi. Udongo umemumunyuka na ardhi imekomaa, watoto hawapati chajio wala kiamsha kinywa. Imekadiria miaka mitano sasa, ambapo wenyeji hawajaweza kupanda wala kuvuna chochote kile,ila hio ndio hali ambayo watoto kama Moses […]

Categories
Education

Students Affected by Drought in Tana River to be Hosted in Low-Cost Boarding Schools

Students in areas stricken by drought and famine in Tana River will be admitted in low-cost boarding schools to mitigate pupils dropping out of due to migration of families. This was said by county Director of Education Khalif Sheikh adding that Children were reported dropping out of school in Tana North,Bura and Upper Galole sub-counties. […]

Categories
Health Latest News

About a million children under 5 in dire need of malnutrition treatment

As drought continues to worsen in 20 of 23 ASAL (Arid and Semi-Arid Land) counties in Kenya, children and pregnant women are the most at risk of acute malnutrition. Worsening food security situation in most of the households has resulted in acute malnutrition rates across the counties. According to NDMA (National Drought Management Authority) statistics, […]