mtoto.news

Categories
Latest News Stories by Children

Children in Sudan Subjected to Violence and Hunger

As the conflict rages on in Sudan, it is the innocent children of the nation who find themselves most vulnerable and at risk. With escalating violence and instability, the situation for Sudanese children has reached a critical point, marked by staggering statistics from UNICEF. The ongoing conflict in Sudan which has been marked by the […]

Categories
Climate Change Latest News Uncategorized

Pembe ya Afrika- Watoto Zaidi ya Millioni Saba Wamesalia Utapiamlo

Zaidi ya watoto milioni saba walio chini ya umri wa miaka mitano wamesalia na utapiamlo na wanahitaji msaada wa haraka wa lishe, na zaidi ya wavulana na wasichana milioni 1.9 wako katika hatari ya kufariki kutokana na utapiamlo mkali . Jamii zilizo katika mazingira magumu zimepoteza ng’ombe, mazao, na maisha mengi katika kipindi cha miaka […]

Categories
Child Rights Health Latest News

Afghanistan: Takriban Watoto Milioni Moja Wanakabiliwa na Utapiamlo Mkali

Afghanistan inasalia kuwa miongoni mwa maeneo ambayo yamepata majanga mabaya zaidi ya kibinadamu duniani huku Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch katika ripoti ya hivi majuzi lilisema kwamba thuluthi mbili ya wakazi wa nchi ya Afghanistan wana uhaba wa chakula. “Afghanistan kwa kiasi kikubwa imetoweka kutoka kwa vyombo vya habari, lakini […]

Categories
Climate Change Latest News

Watoto Asilimia 28 Wahangaishwa na Utapiamlo Kaunti ya Taita Taveta

Mabadiliko ya hali ya hewa bado yanaendelea kuwa mwiba mchungu katika maeneo tofauti tofauti ya Kenya. Taita Taveta ni miongoni mwa Kaunti ambazo zinakubwa na athari hizi za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukosefu wa maji na chakula kutokana na kukauka kwa vyanzo vya maji katika Kaunti hiyo, kumewalazimisha wakaazi wa eneo hilo kusafiri kwa […]

Categories
Feature Stories

Kenya Waste 5.2 tonnes of Food Annually as a Million Children Face Starvation

About 40 percent of food in Kenya is lost from the farm gate to the family table according to a resent Food and Agriculture Organization FAO report. With this, on average every Kenyan throws away an average of 99 kilograms of food every year with the country wasting a total of 5.2 tonnes of food […]

Categories
Health Latest News

About a million children under 5 in dire need of malnutrition treatment

As drought continues to worsen in 20 of 23 ASAL (Arid and Semi-Arid Land) counties in Kenya, children and pregnant women are the most at risk of acute malnutrition. Worsening food security situation in most of the households has resulted in acute malnutrition rates across the counties. According to NDMA (National Drought Management Authority) statistics, […]