mtoto.news

Categories
Child Rights Health Latest News

Afghanistan: Takriban Watoto Milioni Moja Wanakabiliwa na Utapiamlo Mkali

Afghanistan inasalia kuwa miongoni mwa maeneo ambayo yamepata majanga mabaya zaidi ya kibinadamu duniani huku Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch katika ripoti ya hivi majuzi lilisema kwamba thuluthi mbili ya wakazi wa nchi ya Afghanistan wana uhaba wa chakula. “Afghanistan kwa kiasi kikubwa imetoweka kutoka kwa vyombo vya habari, lakini […]