mtoto.news

Categories
Child Rights Climate Change Latest News

Horn of Africa: Over 7 million children under the age of 5 are Currently malnourished

More than 7 million children under the age of 5 in Kenya, Ethiopia and Somalia are currently malnourished and are in need of urgent nutrition support according to UNICEF. In addition over 1.9 million children are at risk of dying from severe malnutrition. This has been occasioned by the drought that has been termed as […]

Categories
Child Rights Health Latest News

Afghanistan: Takriban Watoto Milioni Moja Wanakabiliwa na Utapiamlo Mkali

Afghanistan inasalia kuwa miongoni mwa maeneo ambayo yamepata majanga mabaya zaidi ya kibinadamu duniani huku Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch katika ripoti ya hivi majuzi lilisema kwamba thuluthi mbili ya wakazi wa nchi ya Afghanistan wana uhaba wa chakula. “Afghanistan kwa kiasi kikubwa imetoweka kutoka kwa vyombo vya habari, lakini […]

Categories
Latest News

WHO Donates 5000 Cartons of Therapeutic Foods to MOH to Curb Child Malnutrition

World Health Organization has donated 5000 cartons of Ready to Use Therapeutic Foods (RTUF) worth ksh 26,389,440 to the ministry of Health in a bid to mitigate child malnutrition. This is aimed to improve nutrition which in turn boost child’s immunity which increases their chances for survival and also their ability to reach their maximum […]

Categories
Climate Change Health Latest News

Watoto wanalia njaa huku viwango vya utapiamlo vinaongezeka

Shirika la misaada la MSF limeripoti ongezeko la asilimia 33 ya wagonjwa wenye utapiamlo katika eneo kubwa la Dadaab baada ya watu kufurika kutoka Somalia iliyokumbwa na ukame. Utapiamlo miongoni mwa watoto umeongezeka, hasa katika mojawapo ya kambi kubwa zaidi za wakimbizi duniani mwaka uliopita huku wasiwasi ukiongezeka kutokana na hali mbaya zaidi katika eneo […]

Categories
Climate Change Latest News

Watoto Asilimia 28 Wahangaishwa na Utapiamlo Kaunti ya Taita Taveta

Mabadiliko ya hali ya hewa bado yanaendelea kuwa mwiba mchungu katika maeneo tofauti tofauti ya Kenya. Taita Taveta ni miongoni mwa Kaunti ambazo zinakubwa na athari hizi za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukosefu wa maji na chakula kutokana na kukauka kwa vyanzo vya maji katika Kaunti hiyo, kumewalazimisha wakaazi wa eneo hilo kusafiri kwa […]

Categories
Feature Stories Health Latest News

Diseases and infections Significant Causes of Child Malnutrition-Report

Diseases and infections, although over looked, are significant causes of child malnutrition according to a report by Save the Children. The report indicates that in crises, like drought, health systems become stretched, access to safe water is more difficult and poor hygiene and sanitation is common. As a result, disease, diarrhoea and parasitic infections which […]

Categories
Feature Stories

Kenya Waste 5.2 tonnes of Food Annually as a Million Children Face Starvation

About 40 percent of food in Kenya is lost from the farm gate to the family table according to a resent Food and Agriculture Organization FAO report. With this, on average every Kenyan throws away an average of 99 kilograms of food every year with the country wasting a total of 5.2 tonnes of food […]