mtoto.news

Categories
Child Rights Climate Change Latest News

Governments Inaction on the Climate Crises is a Child Rights Violation-New UN Document

In a new landmark UN document published today in Geneva, governments will need to recognize that inaction on the climate crisis is a child rights violation. Further, it urges governments to factor environmental concerns into their efforts to protect and fulfill children’s rights and empower and protect child activists. In the report General Comment No. 26 […]

Categories
Climate Change Latest News

Global Climate Change Funding Neglects the Needs of Children-Study

Only 2.4 percent of key global climate funds can be classified as supporting child-responsive activities, a new report by Children’s Environmental Rights Initiative (CERI) coalition; Plan International, Save the Children, and UNICEF. They said children are being failed by climate funding commitments, despite bearing the brunt of the climate crisis. They argued that every child […]

Categories
Climate Change

Wito wa Ruto wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa

Rais wa Kenya, William Ruto, aita wito wa Nchi zote Afrika, katika kuungana mkono ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Mataifa maskini, hasa yaliyomo barani Afrika, yameathiriwa vibaya na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikizidisha ukame na mafuriko. Rais William Ruto amesema kwamba, sasa ni wakati muafaka kwa Afrika kukabiliana na mabadiliko […]

Categories
Climate Change Health Latest News

Watoto wanalia njaa huku viwango vya utapiamlo vinaongezeka

Shirika la misaada la MSF limeripoti ongezeko la asilimia 33 ya wagonjwa wenye utapiamlo katika eneo kubwa la Dadaab baada ya watu kufurika kutoka Somalia iliyokumbwa na ukame. Utapiamlo miongoni mwa watoto umeongezeka, hasa katika mojawapo ya kambi kubwa zaidi za wakimbizi duniani mwaka uliopita huku wasiwasi ukiongezeka kutokana na hali mbaya zaidi katika eneo […]

Categories
Climate Change Latest News

Watoto Asilimia 28 Wahangaishwa na Utapiamlo Kaunti ya Taita Taveta

Mabadiliko ya hali ya hewa bado yanaendelea kuwa mwiba mchungu katika maeneo tofauti tofauti ya Kenya. Taita Taveta ni miongoni mwa Kaunti ambazo zinakubwa na athari hizi za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukosefu wa maji na chakula kutokana na kukauka kwa vyanzo vya maji katika Kaunti hiyo, kumewalazimisha wakaazi wa eneo hilo kusafiri kwa […]

Categories
Data Stories Health Uncategorized

Kenya: Ukosefu wa mvua, unyanyasaji wa nyumbani na utapiamlo

UNICEF imeonya kwamba, ukosefu wa mvua nchini Kenya kumewasababisha watoto wapatao milioni 1.4 kukosa chakula chenye lishe bora, na maji safi ya kunywa. Watoto hao pia wanakosa elimu, huduma za afya na ulinzi dhidi ya ukatili na kutelekezwa. Turkana ni miongoni mwa kaunti 15 zilizokumbwa na ukame nchini Kenya kutokana na mabadiliko ya hali ya […]

Categories
Data Stories Health Uncategorized

Kenya: Watoto milioni 16 hatarini kutokana na umaskini na mabadiliko ya hali ya hewa

Takriban watoto milioni 16.4 nchini Kenya, ambayo ni sawa na asilimia 67 ya idadi ya watoto nchini humo, wameathiriwa na umaskini na athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa.