Kila mtoto ana haki ya kuwa na afya njema na kukuzwa katika mazingira salama na safi. Kila mtoto ana haki ya kuishi na kukua kwa njia bora zaidi, ila baada ya mtetemeko wa ardhi huko maeneo ya Uturuki na Syria watoto wengi wameachwa katikati ya ghasia, uharibifu na machafuko. Aya alizaliwa chini ya vifusi vya […]
Category: latest latest
Shule zote nchini Uganda zitafungwa wiki mbili kabla ya muhula uliopangwa kukamilika baada ya visa 23 vya Ebola kuthibitishwa miongoni mwa wanafunzi, wakiwemo watoto wanane waliofariki. Waziri wa Elimu Janet Kataha Museveni alisema Jumanne kwamba baraza la mawaziri lilichukua uamuzi wa kufunga shule za awali, shule za msingi na shule za upili mnamo Novemba 25 kwa […]

Roam rolls out the first ever electric, mass-transit Bus operation in Kenya. Roam, along with its pilot partner, Kenya Mpya on Wednesday, launched the first-ever electric and all-inclusive transport system that will soon be operating in Kenya, catering to Nairobi’s increased urban mobility. The Bus known as Roam Rapid has been designed to meet the […]
Familia moja mjini Mombasa inaomboleza kifo cha watoto wawili wanaodaiwa kunyongwa hadi kufa na baba yao na kuchomwa ndani ya nyumba yao eneo la Bombolulu Workshop. Jason Chacha, mzee wa miaka 55 na baba wa watoto watatu wanasemekana kuwaua watoto hao wawili wenye umri wa miaka 4 na 8 mtawalia Jumatatu saa 2 asubuhi alafu […]
Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]
Zaidi ya watoto milioni tatu wanahitaji msaada wa kibinadamu na wako katika hatari kubwa ya magonjwa yanayotokana na maji, kuzama na utapiamlo kutokana na mafuriko makubwa zaidi katika historia ya hivi majuzi ya Pakistan

Ukame mkali katika kaunti ya Marsabit unatatiza masomo ya watoto, huku wengi wao wakilazimika kuacha shule.

To children (and even to most adults), death looks superficial until it happens to someone close to them. Such a sudden occurrence and one that they cannot fully comprehend leads them to process it differently. Yet, it is crucial for parents and guardians to build healthy coping mechanisms in kids. Here are ways parents and […]

Kenyan parents have displayed their disappointment over the public announcement made by Education CS Magoha to extend the reopening of schools. The Education CS publicized this on Saturday 13, 2022, pushing the date for the reopening of schools from Monday, August 15 to Thursday, August 18. The changes had been influenced by the delay in […]

Waziri wa Elimu George Magoha ametangaza kwamba tarehe ya kufunguliwa kwa shule imebadilishwa kutoka Jumatatu 15 hadi Alhamisi 18, 2022.