Maji ni uhai, vile vile maji ni jambo muhimu mno katika maisha ya binadamu, Usafi wa mazingira na usafi kwa ujumla huzuia ueneaji wa magonjwa na maambukizi mbali mbali. Na iwapo maji yatakosekana, basi mahitaji mengi ya kimsingi pia yatakosekana. Watoto wengi hufa kutokana na ugonjwa wa kuhara, elimu yao huvurugika au kukwama, na utapiamlo […]
Category: Uncategorized
Kulingana na Utafiti wa Demografia na Afya wa Kenya wa 2022, asilimia 15 ya wasichana wenye umri wa kati ya miaka 15 na 19 wamewahi kupata mimba. Takwimu hii huongezeka kila wanakuwa wakubwa kutoka asilimia 3 kati ya watoto wa miaka 15 hadi asilimia 31 kati ya wale wenye umri wa miaka 19. Hii […]

By Ben Oroko There are many life skill lessons parents attempt to teach their children while they are young. One such important life skills is teaching them on how to prudently manage their money during their tender and old age . It is critical for parents to be positive role models to their children in […]
Idara ya Jimbo la Huduma za Urekebishaji na Idara ya Mahakama zimeanza kushughulikia kuondoa msongamano magerezani hasa katika mchakato unaolenga wakosaji wa uhalifu mdogo mdogo, pamoja na akina mama. Katibu Mkuu katika Idara hiyo Mary Muthoni, alifanya ziara ya ghafla hapo Jumatatu katika Gereza la Nakuru ambapo alisema kwamba, hatua hiyo ililenga kupunguza mateso ya watoto […]
Kulingana na baraza la DRC (Danish Refugee Council), watu Milioni 2.1 kwa sasa wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika maeneo ya wafugaji kaskazini mwa Kenya. Viwango vya utapiamlo vinaongezeka kwa kasi, huku ikijumuisha takriban watoto 652,960 wenye umri wa miezi 6-59 na wanawake 96,480 wajawazito na wanaonyonyesha wanaohitaji matibabu ya utapiamlo uliokithiri (data ya […]
Wanafunzi wote washarudi majumbani mwao kwa likizo ndefu ambayo inakusudiwa kumalizika mwisho wa January mwaka Ujao. Hofu na wasiwasi unaongezeka juu ya utovu wa nidhamu wa watoto wakati huu wa likizo ndefu kwani mara nyingi shule huwafanya watoto kuwa na shughuli nyingi na huwaweka mbali na maovu, na hivyo kupunguza shinikizo kwa wazazi. Na hivyo, […]
Huku ukame unaendelea kuathiri kaunti tofauti tofauti nchini Kenya, watoto ndio wanaoendelea kubeba mzigo mkubwa wa athari za mabadiliko ya hali ya anga.
New analysis by the World Health Organization (WHO) has found that the number of reported disease outbreaks and climate-related health emergencies in the greater Horn Africa have reached their highest-ever level this century, deepening a health crisis in a region where 47 million people are already facing acute hunger. Most parts of the region […]
Unyanyasaji wa kijinsia na kesi za mauaji ya wanawake zinaendelea kuongezeka nchini Afrika Kusini huku wanaume “wakatili” nchini humo wakiwalenga watoto na wanawake wazee. “Katika siku za hivi majuzi tumeona visa vya ubakaji na mauaji ya vikongwe, mama na nyanya zetu ambao wanakusudiwa kuheshimiwa na kutendewa utu,” Rais wa nchi hiyo Cyril Ramaphosa, asema. Ameyazungumza […]

Mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU/Ukimwi kutoka kwa mama hadi kwa mtoto huko Busia na Bungoma yalishinikizwa baada ya USAID Dumisha Afya kuanzishwa katika kaunti hizo mbili ili kuharakisha uhamasishaji na mipango ya kujenga uwezo katika ukusanyaji wa data. Kwa mujibu wa mkuu wa chama cha USAID Dumisha Afya mradi Dk. Eveline Ashiono alisema […]