mtoto.news

Categories
Uncategorized

Je malezi ya mtoto nyumbani ni bora kuliko ya taasisi za watoto?

Kwa Sheria mpya ya Watoto na miongozo, serikali inadokeza kwamba familia ni mazingira ya malezi na ya kujali na ni mahali pazuri pa kumlea mtoto. Hivi sasa kuna usitishaji wa usajili wa taasisi mpya na Sheria ya Mtoto, 2022 inayotoa kipaumbele kwa matunzo mbadala ya kifamilia, tofauti na kukuzwa kwa watoto katika Makazi ya Watoto. […]

Categories
Uncategorized

Embrace Children with special needs. Kenyans urged

Kenyans shave been asked to embrace children with special needs and help nurture them into productive citizens. Rani Ramchandani the President of Rotary Club of Nakuru said there was need for the Kenyan society to acknowledge that children with special needs have the potential just like any other children and needed to be empowered so […]

Categories
Education Latest News OCSEA Uncategorized

ChildFund Kenya launches Ksh 115 Million Project to keep children safe online

Directorate of children services representative Charles Ondongo, leads pupils of Mukuru Primary School, Nairobi, in the official launch of the Safe Community Linkages for Internet Child Safety (Safe CLICS) programme. Photo courtesy of ChildFund Kenya.   ChildFund Kenya has launched Ksh 115 million project to help fight Online Child Sexual Exploitation and Abuse (OCSEA) in […]

Categories
Uncategorized

Tuwaepushe watoto kutokana na dhuluma na habari potovu mitandaoni.

Waziri wa mawasiliano Joe Mucheru amewalaumu wazazi kwa kukosa kukagua wavuti wanazoingia watoto wao. Alisema haya mwaka jana katika hafla ya uzinduzi wa programu ya kuwalinda watoto mitandaoni, iliyoasisiwa na Mama wa Taifa, Bi Margaret Kenyatta jijini Nairobi. Aliongezea alisema kuwa, kuweka nywila(pini) kwenye simu na vifaa za wavuti, sio suluhisho tu ya kuwalinda watoto […]

Categories
Uncategorized

Hadithi za kiafrika zisomwe shuleni.

Watoto wafrika wamelelewa katika jamii ambayo imejaa mila na utamaduni wa kimagharibi. Mara nyingi, vitabu na filamu za kiafrika ni chache katika jamii zikilinganishwa na zile za wazungu. Hii ni changamoto kubwa kwa sababu watoto wakiafrika hukuwa wakiiga tabia za kimagharibi. Hivyo kufanya mila na utamaduni wa kiafrika kudidimia au kutokuwa na maana. Licha ya […]

Categories
Data Stories latest latest Latest News Uncategorized

Pakistan: ‘Zaidi ya watoto milioni tatu wako hatarini’ UNICEF.

Zaidi ya watoto milioni tatu wanahitaji msaada wa kibinadamu na wako katika hatari kubwa ya magonjwa yanayotokana na maji, kuzama na utapiamlo kutokana na mafuriko makubwa zaidi katika historia ya hivi majuzi ya Pakistan

Categories
Data Stories Fact Checks Latest News Uncategorized

Msichana,15, Awaua Ndugu Zake 3 na Binamu

Maafisa wa upelelezi katika Kaunti ya Kiambu wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi wa kidato cha kwanza anadaiwa kuwaua ndugu zake watatu na binamu yake katika muda wa mwaka mmoja uliopita. Kulingana na KBC, Mtoto huyo alipokuwa katika kituo cha Polisi cha Kikuyu, alikiri kwa wapelelezi jinsi alivyowaua ndugu zake, mmoja akiwa na umri wa miezi 15, […]

Categories
Uncategorized

2 Children Drown in Machakos

Machakos County is mourning the untimely death of two children that drowned while swimming in a quarry. The 2 boys aged ten and thirteen had gone for a swim on Thursday evening in Kathaana village located in Kangundo sub-county. The Kangundo Sub-county police commander Mr.Zechariah Bitok confirmed that the incident took place on Thursday evening, […]

Categories
Uncategorized

Wanafunzi wasaidiwe na wazazi kuchagua shule za upili za daraja ya chini

Huku wanafunzi wa gradi la sita wakichagua shule za upili za daraja la pili, ambayo ilianza tarehe 15 hadi tarehe 30, Agosti. Wanafunzi hawa wanafaa kupewa mawaidha maalum wanapofanya uchaguzi huu. Hii ni kwa sababu wanafunzi hawa bado ni wachanga na ni vyema walimu, walezi na wazazi kuingilia kati na kuweza kuwasaidia katika uchaguzi huu. […]

Categories
Uncategorized

Tuwache kubagua watoto albino kwa sababu pia hao wanaweza kufaulu maishani.

Kulingana na ripoti ya Deutsche Welle, zeruzeru au kwa kingereza albino husababishwa na upungufu wa chembechembe za rangi ya ngozi, nywele na hata macho. Hali hii ya zeruzeru hutokea ikiwa kuna historia ya hali hiyo katika familia. Albino aghalabu wana matatizo ya macho. Hii ni kuwa huwa hawaoni mbali au hawaoni karibu japo miwani huweza […]