mtoto.news

Categories
Uncategorized

Wanafunzi wasaidiwe na wazazi kuchagua shule za upili za daraja ya chini

Huku wanafunzi wa gradi la sita wakichagua shule za upili za daraja la pili, ambayo ilianza tarehe 15 hadi tarehe 30, Agosti. Wanafunzi hawa wanafaa kupewa mawaidha maalum wanapofanya uchaguzi huu. Hii ni kwa sababu wanafunzi hawa bado ni wachanga na ni vyema walimu, walezi na wazazi kuingilia kati na kuweza kuwasaidia katika uchaguzi huu. […]

Categories
Uncategorized

Tuwache kubagua watoto albino kwa sababu pia hao wanaweza kufaulu maishani.

Kulingana na ripoti ya Deutsche Welle, zeruzeru au kwa kingereza albino husababishwa na upungufu wa chembechembe za rangi ya ngozi, nywele na hata macho. Hali hii ya zeruzeru hutokea ikiwa kuna historia ya hali hiyo katika familia. Albino aghalabu wana matatizo ya macho. Hii ni kuwa huwa hawaoni mbali au hawaoni karibu japo miwani huweza […]

Categories
Data Stories Feature Stories Health Uncategorized

Mgogoro wa Njaa Wawalazimu Watoto Wachanga Kuwaambata Ndugu Zao Shuleni Ili Kupata Mlo

Kulingana na Save the Children wazazi kutoka kaskazini-mashariki mwa Uganda wanalazimika kuwatuma watoto wao wachanga wa umri wa shule ya awali, shuleni pamoja na ndugu zao ili waweze kushiriki kwenye mlo wa bure shuleni kwani idadi ya familia zisizoweza kumudu chakula nyumbani inazidi kuongezeka. Natalina, aliye na miaka 10, anasoma katika shule ya jumuiya inayoungwa […]

Categories
Education Uncategorized

Hofu ya Usalama wa Watoto Baada ya Matokeo ya Uchaguzi Kutangazwa

Wazazi wamesema kuwa, huenda wasiwaachilie watoto wao warudi shuleni hadi watakapohakikisha kuwa, hali ya kisiasa ipo salama kwa wanafunzi.

Categories
Education Uncategorized

CS Magoha announces News School Reopening Date

Education Cabinet Secretary Prof. George Magoha has announced Monday 15th August 2022 as the new School reopening date. In A statement, the CS said the decision had been informed by the fact that most schools were still being used as tallying centers. “We have however been informed that the process of tallying of ballots may […]

Categories
Uncategorized

PRE-ELECTION STATEMENT BY CHILD RIGHTS ORGANIZATIONS IN KENYA ON SAFETY, SECURITY & PROTECTION OF ALL CHILDREN ISSUED ON 5TH AUGUST 2022 Recognizing that over 22 million people in Kenya are children (46.1 percent of Kenya’s population) out of whom 49.6 percent are female, 50.4 percent are male and 0.003 percent are intersex, Recognizing that children […]

Categories
Uncategorized

Child Abuse Among Risks to Peaceful and Credible Elections, Warns KNCHR

Human rights body Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) yesterday mentioned politics-related child abuse as one of the risks to peaceful and credible elections in the upcoming general elections. KNHCR chairperson Roselyn Odede stated this during a media briefing on the level of election preparedness on August 3, 2022, at Nairobi’s Stanley Sarova Hotel. […]