mtoto.news

Categories
Uncategorized

Technology to combat FGM: Pasha app launched to curb FGM in Kuria

The PASHA App aids in sharing information with the & other relevant authorities & duty bearers in text or voice & one can remain anonymous. The Kenya Anti-Female Genital Mutilation (FGM) board, in partnership with UNICEF on Wednesday, launched Kenya’s digital mobile application called Pash, aAPP, which will be used in reporting and tracking cases of […]

Categories
Uncategorized

Wakenya 31 waokolewa kutoka kwa wateka nyara huko Laos

Mnamo tarehe 31 Agosti 2022, HAART{Ufahamu Dhidi ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu}ilipokea ombi la kutaka usaidizi kupitia mitandao ya kijamii na barua pepe. Bwana mmoja aliwafahamisha HAART kwamba mwanafamilia wake ameshawishiwa kwa ahadi za uwongo za kufanya kazi Thailand ila alisafirishwa hadi Laos, pamoja na Wakenya wengine. Kwa hofu, Bwana huyo aliiomba HAART kuingilia kati […]

Categories
Uncategorized

The Boy Child and The Silent Crisis

October 11th of every year is the International day of the child. The world comes together to commemorate the steps made in empowering and securing the girl child. May 16th of each year has been observed as International Day of the Boy Child. This is a day dedicated to the whole world to focus on […]

Categories
Uncategorized

Tuwalinde watoto dhidi ya ukatili

Ndani ya mwaka mmoja, takriban watoto bilioni moja wananyanyaswa kote ulimwenguni. Kila mwanadamu, bila kujali kabila, cheo, dini, elimu, au hali yoyote ile, ana haki ya kuishi katika ulimwengu wenye amani na usio na kila aina ya vurugu. Hata hivyo, kuna haja ya dharura ya kuchukuliwa kwa hatua zaidi za kuzuia na kukabiliana na tishio […]

Categories
Uncategorized

Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike:”Haki zetu, Mustakabali wetu”

Mnamo 2022, tunaadhimisha kumbukumbu ya miaka kumi tangu kuzaliwa kwa Siku ya Kimataifa ya Msichana (IDG). Katika miaka hii 10 iliyopita, kumekuwa na umakini mkubwa katika masuala ambayo ni muhimu kwa wasichana, haswa miongoni mwa serikali, watunga sera na umma kwa ujumla, pia kumekuwa na umuhimu chanya katika kuwapa wasichana fursa zaidi kwa kusikilizwa sauti zao katika […]

Categories
Uncategorized

Sudan: Mafuriko, mashambulizi ya wanamgambo na njaa yatatiza masomo ya watoto

Kufuatia mvua kubwa na mafuriko nchini Sudan, makumi ya maelfu ya nyumba, visima na mashamba ya kilimo yameharibiwa huku familia 80,000 zikihitaji msaada wa kibinadamu makadirio ya Hilali Nyekundu ya Sudan (SRCS). Mashirika ya misaada yameonya kwamba, takriban kila mtoto aliye na umri wa kwenda shule nchini Sudan anakosa elimu, Baadhi ya majimbo nchini Sudan, […]

Categories
latest latest Latest News Uncategorized

Mombasa: Baba achoma nyumba baada ya kuwanyonga wanawe wawili

Familia moja mjini Mombasa inaomboleza kifo cha watoto wawili wanaodaiwa kunyongwa hadi kufa na baba yao na kuchomwa ndani ya nyumba yao eneo la Bombolulu Workshop. Jason Chacha, mzee wa miaka 55 na baba wa watoto watatu wanasemekana kuwaua watoto hao wawili wenye umri wa miaka 4 na 8 mtawalia Jumatatu saa 2 asubuhi alafu […]

Categories
Health Uncategorized

Ongezeko la kesi za utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa watoto

Inasikitisha sana kuona kwamba kila kukicha kunakuwa na taarifa za kukamatwa kwa wauza dawa za kulevya katika nchini Kenya. Katika mahojiano na Afisa wa Marekebisho ya Gucha, Elijah Omanga, Kenya News Agency,  ilibaini kuwa kuna ongezeko la mara kwa mara la visa vya utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa watoto wanaosoma shule katika eneo […]

Categories
Uncategorized

Utahakikishaje kuwa talaka haiathiri maisha ya mtoto wako?

Kulingana na utafiti watu wanne kati ya elfu ulimwenguni waliofunga ndoa wamepitia talaka, na mara nyingi talaka hizi huathiri watoto. Athari za talaka kwa watoto ni nyingi mno, ila utajitahidi vipi katika kuhakikisha kuwa talaka haitamwathiri mtoto wako? La kwanza kabisa, ni kujizatiti katika kutowaangazia watoto kwenye mapigano yasiyoisha, au vita vya chuki vilopita mpaka. […]

Categories
Health Uncategorized

Syria:Mlipuko wa kipindupindu wahatarisha Afya na Elimu ya Watoto

Shirika la Save the Children, lasema kwamba, maelfu ya watoto huko mashariki na kaskazini mwa Syria wako hatarini kutokana na kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa kipindupindu unaosababishwa na uhaba wa maji unaohusishwa na mabadiliko ya hali ya hewa na migogoro na matumizi ya maji machafu kutoka Mto Euphrates. Takriban watu 24 wamefariki kutokana na […]