mtoto.news

Categories
Latest News

Gilbert Deya: Mchungaji kutoka Kenya afutiwa mashtaka ya ulanguzi wa watoto

Mwinjilisti aliye na utata nchini Kenya, ameondolewa mashtaka ya ulanguzi wa watoto kutokana na ukosefu wa ushahidi wa kutosha. Hakimu wa Kenya alieleza kwamba, upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kuwa Gilbert Deya aliwaiba watoto watano miongo miwili iliyopita, . Mwinjilisti huyo alishutumiwa kwa kuwakabidhi watoto hao kwa wanawake waliokuwa wakihangaika kupata mimba. Mchungaji huyo alihamishwa […]

Categories
Child Rights Latest News

Kesi ya Wizi wa Watoto Dhidi ya Deya imesogezwa hadi Aprili

Mahakama ya Nairobi imeahirisha kesi ya wizi wa watoto dhidi ya Askofu Gilbert Juma Deya baada ya hakimu wa mahakama kusema  alikuwa mgonjwa. Deya, ambaye alifika mbele ya hakimu mkuu mwandamizi wa Milimani Robison Ondieki hapo jana, alikuwa tayari kwa kusikilizwa na kujitetea pamoja na wakili wake John Swaka. Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali Nicholas […]