mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News OCSEA

Beatrice Mwende; Aliyewaua Watoto Wake Wanne Ahukumiwa Kifungo cha Maisha

    Beatrice Mwende, mwalimu wa Hisabati anayeishi Naivasha ambaye aliwaua watoto wake wanne mnamo Juni 2020, atatumikia kifungo cha maisha jela kwa mauaji hayo. Jaji wa Mahakama Kuu ya Naivasha Grace Nzioka alipuuzilia mbali utetezi wa Mwende kwamba alikuwa na mapepo alipowaua binti zake watatu na mwanawe mmoja. Mfungwa huyo mwenye umri wa miaka […]