mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News

DPP Inspects Child-Friendly Interview Rooms in Kibera Law Court

Office of the Director of Public Prosecution has pledged to support Kibera court with necessary technology to fast track children related cases. This was said by Director of Public Prosecutions Noordin Haji on Wednesday when he visited the Kibera Law Courts to inspect the child-friendly interview rooms. The rooms are equipped with video conferencing equipment […]

Categories
Child Rights Latest News

Haki za Watoto Kupewa Kipaumbele : Martha Koome

Jaji Mkuu Martha Koome ametaja maeneo muhimu ambayo Mahakama itaweka kipaumbele kuelekea siku zijazo. Juu ya orodha hiyo ni upatikanaji wa haki kwa watoto, kukuza utatuzi mbadala wa migogoro, kupunguza msongamano wa mfumo wa haki na haki ya uchaguzi, miongoni mwa mengine. “Tunalenga kuweka mfumo wa haki ulio salama ambao unashughulikia ipasavyo watoto wanaowasiliana na […]

Categories
Child Rights Uncategorized

Mahakama Kushughulikia Upya Kesi za Akina Mama Walio na Watoto Gerezani

Idara ya Jimbo la Huduma za Urekebishaji na Idara ya Mahakama zimeanza kushughulikia kuondoa msongamano magerezani hasa katika mchakato unaolenga wakosaji wa uhalifu mdogo mdogo, pamoja na akina mama. Katibu Mkuu katika Idara hiyo Mary Muthoni,  alifanya ziara ya ghafla hapo Jumatatu katika Gereza la Nakuru ambapo alisema kwamba, hatua hiyo ililenga kupunguza mateso ya watoto […]

Categories
Child Rights Climate Change

Mitindo Minane Itakayoathiri Watoto Mwaka wa 2023

Msururu wa migogoro iliyounganishwa inatarajiwa kuwa na athari kubwa kwa watoto mwaka wa 2023. Ripoti kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF), iliyotolewa Jumanne, inaeleza kwa kina mielekeo ambayo itabadilisha maisha yao katika kipindi cha miezi 12 ijayo. Ripoti hiyo, “Matarajio ya Watoto Mwaka 2023: Mtazamo wa Ulimwenguni”, pia inaangalia anuwai ya maeneo mengine […]

Categories
Child Rights Latest News

Judiciary to Set Specific Dates to Hear Children Cases-CJ Koome

The Judiciary will set specific dates to hear cases involving children Chief Justice Martha Koome has said. She said this today when receiving a progress report on ongoing reforms in child justice. She said other areas of focus will include decongesting remand homes, and countrywide training for Judicial Officers on the Children Act. She continued to […]

Categories
Child Rights

Watoto 3 Kati Ya Watu Wanane Waliouawa Katika Shambulio La Majambazi La Marsabit

Watoto watatu ni miongoni mwa watu wanane waliouawa katika kijiji cha Yell Kurkum huko Laisamis, Kaunti ya Marsabit. Kulingana na polisi, washambuliaji walifyatua risasi na kuwaua wanane hao ambao kati yao kulikuwa na wanaume watano, pamoja na watoto watatu. Kamanda wa polisi wa Mashariki Rono Bunei anasema kuwa, takriban majambazi 15 waliokuwa na bunduki walivamia […]

Categories
Child Rights Climate Change Education Education education

Zaidi ya Watoto Milioni 3.5 Kukosa Shule mnamo Januari 2023 Kutokana na Ukame :Save The Children.

  Zaidi ya watoto milioni 3.5 nchini Kenya wako kwenye hatari ya kukosa kuenda shule wakati zitakapofunguliwa kwa muhula wa kwanza hapo Januari mwaka ujao kwa sababu ya ukame unaoendelea, shirika la misaada ya kibinadamu la Save the Children limesema. Utafiti wa 2021 wa Global Out of School Children Initiative ulibaini kuwa kuna zaidi ya […]

Categories
Child Rights FGM Health

Ruto Aahidi Kutokomeza Ukeketaji

  Rais William Ruto amesisitiza dhamira ya serikali ya Kenya Kwanza katika kutokomeza ukeketaji hadi mwisho wa kipindi chake. Akizungumza siku ya Jumatatu, Ruto amesema kwamba, kesi za ukeketaji katika kipindi chake zitaondolewa. “Ninakubaliana na CJ Martha Koome kwamba hatufai kuwa na mazungumzo kuhusu ukeketaji nchini Kenya katika Karne ya 21,” alisema. “Ninataka kuwahakikishia  uungwaji […]

Categories
Child Rights Latest News

Meet Lisa Gem Youngest Nominee for Human Right Defender of the Year Awards

Lisa Gem a grade 4 pupil at M.M Shah Primary School in Kisumu has become the youngest person to be nominated for human right defender of the year Awards at just 10 years. She is the only child among the top six nominees for the same award. Lisa she started her activism back in 2019, when […]

Categories
Child Rights Education

Zaidi ya watahiniwa 300 wajawazito kukalia mitihani ya kitaifa

Takriban wasichana 317 wajawazito ni miongoni mwa maelfu ya watahiniwa wanaofanya mtihani wa Kutathmini Elimu ya Shule ya Msingi ya Kenya (KPSEA) na Cheti cha Elimu ya Msingi ya Kenya (KCPE) katika kaunti za South Rift.  Jumla ya watahiniwa 292 wajawazito wanatoka katika kaunti ya Baringo, Bomet na Narok, huku wasichana  25 wajawazito wanatoka katika kaunti […]