mtoto.news

Categories
Child Rights Education

Zaidi ya watahiniwa 300 wajawazito kukalia mitihani ya kitaifa

Takriban wasichana 317 wajawazito ni miongoni mwa maelfu ya watahiniwa wanaofanya mtihani wa Kutathmini Elimu ya Shule ya Msingi ya Kenya (KPSEA) na Cheti cha Elimu ya Msingi ya Kenya (KCPE) katika kaunti za South Rift.  Jumla ya watahiniwa 292 wajawazito wanatoka katika kaunti ya Baringo, Bomet na Narok, huku wasichana  25 wajawazito wanatoka katika kaunti […]

Categories
Child Rights Latest News

Goma DRC: Nasaha ya Uhuru Kenyatta Juu ya Kuwaepusha Watoto na Vita.

  Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta Jumanne alienda karibu na eneo la vita huko Goma na Rutshuru, Kivu Kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo aliwasihi wapiganaji kukomesha vita huku akikutana na watu waliokimbia makazi yao wakitoroka mapigano. Bw Kenyatta, ambaye ni mpatanishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yenye nchi saba, alialikwa […]

Categories
Child Rights Latest News

Mipango ya Kuondoa makazi ya watoto na yatima imeng’oa Nanga

  Mkakati wa Marekebisho ya Utunzaji uliopangwa wa miaka 10 unalenga kutoa masuluhisho mbadala kwa malezi ya watoto na kutilia mkazo ukweli kwamba familia itasalia kuwa kitengo muhimu katika malezi ya mtoto.   Mkurugenzi msaidizi anayeshughulikia Malezi na Mageuzi katika Kurugenzi ya Huduma za Watoto Jane Munuhe amesema kwamba, serikali imetunga sheria mpya. Akizungumza mjini […]

Categories
Child Rights

CJ Koome azindua Mwezi wa Huduma kwa Watoto

  Mwezi wa Novemba umejitolea kuhamasisha umma kuhusu haki za watoto na kusikiliza, kuamua na kuharakisha kesi zinazohusu watoto katika vituo vyote vya mahakama. Mwezi wa utumishi wa mwaka huu utatoa kipaumbele kwa uidhinishaji wa masuala ya watoto, hasa yale ambayo yamekuwa katika mahakama zaidi ya miezi sita ya kisheria. Wiki ya Huduma kwa Watoto […]