Rais William Ruto ametangaza kuwa kutoka sasa, taasisi za mafunzo zitafunza lugha ya Kijerumani. Akizungumza wakati wa vyombo vya habari vilivyofanyika Ikulu, Nairobi, mkuu wa nchi alisema hatua hiyo itawezesha nchi hizo mbili kuziba pengo la lugha. “Tulikubaliana kuanzisha ufundishaji na ujifunzaji wa Kijerumani katika taasisi za elimu ya msingi, TVET na taasisi zingine za […]
Category: latest latest
By Jennifer Kaberi The African Union set aside 16th June Day of the African Child (DAC) as a day for not only celebrating African children but also as a platform for child participation. But, is DAC about children? I am in several planning meetings at sub-national, national, sub-regional, and regional and one thing I have […]
Kiongozi wa madhehebu ya kidini nchini Kenya anayedaiwa kuwachochea wafuasi kufa kwa njaa anakabiliwa na mashtaka ya ziada ikiwemo ugaidi na ulanguzi wa watoto. Aliyejiita kasisi Paul Nthenge Mackenzie, ambaye alianzisha kanisa la Good News International Church mwaka wa 2003, alifikishwa mahakamani siku ya Jumanne. Nthenge anashtakiwa kwa kuchochea wafuasi kufa njaa ili “kumlaki Yesu”. […]
Mapema Aprili mwaka wa 2023, mchungaji Paul Makenzi wa Good News International mjini Kilifi, alikamatwa na maafisa wa Kurugenzi ya Upelelezi wa Jinai kwa madai ya kuua na kuwazika watoto katika makaburi ya kina kirefu. Tangia hapo, wachunguzi wameweza kufukua miili iliyopita 110 hadi sasa, huku wengi wao wakiwa watoto. Isitoshe […]
Mack Maranga, 23, is the winner of Save the Children’s Digital Innovation Challenge in a competition that attracted 163 competitors. His innovation, Toto Register is a digital attendance system that is designed to take the daily attendance of students in Kenya. The system which will utilize mobile app will allow teachers to import student lists, […]
A report by the National Syndemic Diseases and Control Council (NSDCC) indicates that grandfathers are perpetrators of most gender-based violence and incest against girls. They are followed by fathers, uncles and relatives in that order with the report showing an increase of the vice in 37 counties, among them Nairobi, Homa Bay, Siaya, Bungoma, Kakamega, […]
Kila mtoto ana haki ya kuwa na afya njema na kukuzwa katika mazingira salama na safi. Kila mtoto ana haki ya kuishi na kukua kwa njia bora zaidi, ila baada ya mtetemeko wa ardhi huko maeneo ya Uturuki na Syria watoto wengi wameachwa katikati ya ghasia, uharibifu na machafuko. Aya alizaliwa chini ya vifusi vya […]
Shule zote nchini Uganda zitafungwa wiki mbili kabla ya muhula uliopangwa kukamilika baada ya visa 23 vya Ebola kuthibitishwa miongoni mwa wanafunzi, wakiwemo watoto wanane waliofariki. Waziri wa Elimu Janet Kataha Museveni alisema Jumanne kwamba baraza la mawaziri lilichukua uamuzi wa kufunga shule za awali, shule za msingi na shule za upili mnamo Novemba 25 kwa […]
Roam rolls out the first ever electric, mass-transit Bus operation in Kenya. Roam, along with its pilot partner, Kenya Mpya on Wednesday, launched the first-ever electric and all-inclusive transport system that will soon be operating in Kenya, catering to Nairobi’s increased urban mobility. The Bus known as Roam Rapid has been designed to meet the […]
Familia moja mjini Mombasa inaomboleza kifo cha watoto wawili wanaodaiwa kunyongwa hadi kufa na baba yao na kuchomwa ndani ya nyumba yao eneo la Bombolulu Workshop. Jason Chacha, mzee wa miaka 55 na baba wa watoto watatu wanasemekana kuwaua watoto hao wawili wenye umri wa miaka 4 na 8 mtawalia Jumatatu saa 2 asubuhi alafu […]