mtoto.news

Categories
Education

Gachagua; CBC is Here to Stay

Deputy President Rigathi Gachagua yesterday said the government will not scrap the competency-based curriculum (CBC). This has come after long speculation on what would happen to the curriculum pioneered by the previous government. He was speaking at the Centre for Mathematics, Science and Technology Education (CEMASTEA) in Karen, Nairobi during the induction of 49 members […]

Categories
Education Education education Latest News

Wazazi waghadhabishwa na picha za watoto wakitoa kuku manyoya wakati wa mafunzo ya CBC

Wazazi wengi wameonyesha hasira yao mitandaoni baada ya picha ya wanafunzi wakitoa kuku manyoya kusambaa mitandaoni. Wananchi walionyesha wasiwasi kupitia twitter, huku wakikashifu mtaala wa CBC na wakisema kwamba, usalama wa watoto hao haukuzingatiwa kamwe, kwani kulikuwa na utumiaji wa visu na maji ya moto wakati wa matayarisho hayo ya kuku. I don't like CBC […]

Categories
Education Education education latest latest Latest News

Ni Ipi Hatima ya CBC Baada ya William Ruto Kuapishwa?

Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]

Categories
Uncategorized

Education CS Encourages Parents to Enroll their Children in Day Schools

By Raisa Okwaras, Kenya Education Cabinet Secretary (CS) George Magoha insists that the new education curriculum is demystifying the notion that boarding schools in the country are better than day schools. He highlighted this at Kariobangi North Girls’ High School last week during the commissioning of the newly built classes for the junior secondary school […]