mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News

Judiciary to Set Specific Dates to Hear Children Cases-CJ Koome

The Judiciary will set specific dates to hear cases involving children Chief Justice Martha Koome has said. She said this today when receiving a progress report on ongoing reforms in child justice. She said other areas of focus will include decongesting remand homes, and countrywide training for Judicial Officers on the Children Act. She continued to […]

Categories
Child Rights

Watoto 3 Kati Ya Watu Wanane Waliouawa Katika Shambulio La Majambazi La Marsabit

Watoto watatu ni miongoni mwa watu wanane waliouawa katika kijiji cha Yell Kurkum huko Laisamis, Kaunti ya Marsabit. Kulingana na polisi, washambuliaji walifyatua risasi na kuwaua wanane hao ambao kati yao kulikuwa na wanaume watano, pamoja na watoto watatu. Kamanda wa polisi wa Mashariki Rono Bunei anasema kuwa, takriban majambazi 15 waliokuwa na bunduki walivamia […]

Categories
Child Rights Climate Change Education Education education

Zaidi ya Watoto Milioni 3.5 Kukosa Shule mnamo Januari 2023 Kutokana na Ukame :Save The Children.

  Zaidi ya watoto milioni 3.5 nchini Kenya wako kwenye hatari ya kukosa kuenda shule wakati zitakapofunguliwa kwa muhula wa kwanza hapo Januari mwaka ujao kwa sababu ya ukame unaoendelea, shirika la misaada ya kibinadamu la Save the Children limesema. Utafiti wa 2021 wa Global Out of School Children Initiative ulibaini kuwa kuna zaidi ya […]

Categories
Child Rights FGM Health

Ruto Aahidi Kutokomeza Ukeketaji

  Rais William Ruto amesisitiza dhamira ya serikali ya Kenya Kwanza katika kutokomeza ukeketaji hadi mwisho wa kipindi chake. Akizungumza siku ya Jumatatu, Ruto amesema kwamba, kesi za ukeketaji katika kipindi chake zitaondolewa. “Ninakubaliana na CJ Martha Koome kwamba hatufai kuwa na mazungumzo kuhusu ukeketaji nchini Kenya katika Karne ya 21,” alisema. “Ninataka kuwahakikishia  uungwaji […]

Categories
Child Rights Latest News

Meet Lisa Gem Youngest Nominee for Human Right Defender of the Year Awards

Lisa Gem a grade 4 pupil at M.M Shah Primary School in Kisumu has become the youngest person to be nominated for human right defender of the year Awards at just 10 years. She is the only child among the top six nominees for the same award. Lisa she started her activism back in 2019, when […]

Categories
Child Rights Education

Zaidi ya watahiniwa 300 wajawazito kukalia mitihani ya kitaifa

Takriban wasichana 317 wajawazito ni miongoni mwa maelfu ya watahiniwa wanaofanya mtihani wa Kutathmini Elimu ya Shule ya Msingi ya Kenya (KPSEA) na Cheti cha Elimu ya Msingi ya Kenya (KCPE) katika kaunti za South Rift.  Jumla ya watahiniwa 292 wajawazito wanatoka katika kaunti ya Baringo, Bomet na Narok, huku wasichana  25 wajawazito wanatoka katika kaunti […]

Categories
Child Rights Latest News

Goma DRC: Nasaha ya Uhuru Kenyatta Juu ya Kuwaepusha Watoto na Vita.

  Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta Jumanne alienda karibu na eneo la vita huko Goma na Rutshuru, Kivu Kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo aliwasihi wapiganaji kukomesha vita huku akikutana na watu waliokimbia makazi yao wakitoroka mapigano. Bw Kenyatta, ambaye ni mpatanishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yenye nchi saba, alialikwa […]

Categories
Child Rights Latest News

Mipango ya Kuondoa makazi ya watoto na yatima imeng’oa Nanga

  Mkakati wa Marekebisho ya Utunzaji uliopangwa wa miaka 10 unalenga kutoa masuluhisho mbadala kwa malezi ya watoto na kutilia mkazo ukweli kwamba familia itasalia kuwa kitengo muhimu katika malezi ya mtoto.   Mkurugenzi msaidizi anayeshughulikia Malezi na Mageuzi katika Kurugenzi ya Huduma za Watoto Jane Munuhe amesema kwamba, serikali imetunga sheria mpya. Akizungumza mjini […]

Categories
Child Rights

CJ Koome azindua Mwezi wa Huduma kwa Watoto

  Mwezi wa Novemba umejitolea kuhamasisha umma kuhusu haki za watoto na kusikiliza, kuamua na kuharakisha kesi zinazohusu watoto katika vituo vyote vya mahakama. Mwezi wa utumishi wa mwaka huu utatoa kipaumbele kwa uidhinishaji wa masuala ya watoto, hasa yale ambayo yamekuwa katika mahakama zaidi ya miezi sita ya kisheria. Wiki ya Huduma kwa Watoto […]