Zaidi ya watoto milioni 3.5 nchini Kenya wako kwenye hatari ya kukosa kuenda shule wakati zitakapofunguliwa kwa muhula wa kwanza hapo Januari mwaka ujao kwa sababu ya ukame unaoendelea, shirika la misaada ya kibinadamu la Save the Children limesema. Utafiti wa 2021 wa Global Out of School Children Initiative ulibaini kuwa kuna zaidi ya […]
Category: Climate Change

Almost half of young people in Africa have reconsidered having children due to climate change according to results from a UNICEF U-Report poll of 243,512 worldwide respondents. Globally, 2 in 5 young people said the impacts of climate change have made them reconsider their desire to start a family. The U-Report poll received responses from […]