mtoto.news

Categories
Child Rights latest latest Latest News

The Launch of the Sexual and Gender based Violence and Child Justice Strategy

The Chief Justice of Kenya Hon Martha Koome has today launched the Child Justice and SGBV Strategy and Convicted Sexual Offenders Electronic Register at Kibera law Courts Nairobi. The initiatives are on spar with the strategic focus of the judiciary to transform systems into people centered one that upholds the dignity and rights of especially […]

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Uganda : Children’s Rights Violated, 42 Killed with 6 Abducted

  Every child has a right to live and the government must ensure as much as possible a good life and development of a child but, that is brought to question when the ADF rebels cost the lives of 42 children on the night of June 16, 2023 with 6 abducted from Mpondwe/ Lubiriha Secondary […]

Categories
latest latest Latest News

Uganda: Yoweri Museveni Alaani shambulizi, Anatoa Pole kwa Familia za Wanafunzi Waliopoteza Maisha

Kila mtoto ana haki ya kuishi na serikali lazima ihakikishe kwa kadiri iwezekanavyo maisha mema na ukuaji wa mtoto, lakini hilo linatiliwa shaka wakati mashambulizi ya waasi wa ADF yalipogharimu maisha ya watoto 42 wasio na hatia usiku wa Juni 16, 2023. Kwa mujibu wa polisi, shule ya sekondari ya Lhubirira iliyoko Mpondwe iliyoko kilomita […]

Categories
Education Education education latest latest Latest News

Ruto: Kenya kuanzisha mafunzo ya lugha ya Kijerumani shuleni

Rais William Ruto ametangaza kuwa kutoka sasa, taasisi za mafunzo zitafunza lugha ya Kijerumani. Akizungumza wakati wa vyombo vya habari vilivyofanyika Ikulu, Nairobi, mkuu wa nchi alisema hatua hiyo itawezesha nchi hizo mbili kuziba pengo la lugha.  “Tulikubaliana kuanzisha ufundishaji na ujifunzaji wa Kijerumani katika taasisi za elimu ya msingi, TVET na taasisi zingine za […]

Categories
Child Rights Day of the African Child latest latest Latest News

Adultism in the Day of the African Child

By Jennifer  Kaberi The African Union set aside 16th June Day of the African Child (DAC) as a day for not only celebrating African children but also as a platform for child participation. But, is DAC about children? I am in several planning meetings at sub-national, national, sub-regional, and regional and one thing I have […]

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Kiongozi wa Madhehebu Kenya Akabiliwa na Mashtaka ya Ugaidi, Mauaji, Utekaji Nyara na Ukatili Dhidi ya Watoto

Kiongozi wa madhehebu ya kidini nchini Kenya anayedaiwa kuwachochea wafuasi kufa kwa njaa anakabiliwa na mashtaka ya ziada ikiwemo ugaidi na ulanguzi wa watoto. Aliyejiita kasisi Paul Nthenge Mackenzie, ambaye alianzisha kanisa la Good News International Church mwaka wa 2003, alifikishwa mahakamani  siku ya Jumanne. Nthenge anashtakiwa kwa kuchochea wafuasi kufa njaa ili “kumlaki Yesu”. […]

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Unyanyasaji na Uuaji wa Watoto Katikati ya Madhehebu Yenye Mizizi Mirefu Nchini Kenya

  Mapema Aprili mwaka wa 2023, mchungaji Paul Makenzi wa Good News International mjini Kilifi, alikamatwa na maafisa wa Kurugenzi ya Upelelezi wa Jinai kwa madai ya kuua na kuwazika watoto katika makaburi ya kina kirefu.       Tangia hapo, wachunguzi wameweza kufukua miili iliyopita 110 hadi sasa, huku wengi wao wakiwa watoto. Isitoshe […]

Categories
Education latest latest

University Student Wins Save the Children’s Digital Innovation Challenge

Mack Maranga, 23, is the winner of Save the Children’s Digital Innovation Challenge in a competition that attracted 163 competitors. His innovation, Toto Register is a digital attendance system that is designed to take the daily attendance of students in Kenya. The system which will utilize mobile app will allow teachers to import student lists, […]

Categories
Health latest latest OCSEA

Grandfathers Perpetrators of Most GBV and Incest against Girls-Report

A report by the National Syndemic Diseases and Control Council (NSDCC) indicates that grandfathers are perpetrators of most gender-based violence and incest against girls. They are followed by fathers, uncles and relatives in that order with the report showing an increase of the vice in 37 counties, among them Nairobi, Homa Bay, Siaya, Bungoma, Kakamega, […]

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Tetemeko la ardhi Uturuki/Syria;Watoto walioachwa yatima wanakabiliwa na mustakabali usio na uhakika

Kila mtoto ana haki ya kuwa na afya njema na kukuzwa katika mazingira salama na safi. Kila mtoto ana haki ya kuishi na kukua kwa njia bora zaidi, ila baada ya mtetemeko wa ardhi huko maeneo ya Uturuki na Syria watoto wengi wameachwa katikati ya ghasia, uharibifu na machafuko. Aya alizaliwa chini ya vifusi vya […]