Wizara ya afya nchini humo imesema kwamba, idadi ya vifo vya watoto vilivyotokana na Ugonjwa huo vimeongezeka hadi karibia 700.

Wizara ya afya nchini humo imesema kwamba, idadi ya vifo vya watoto vilivyotokana na Ugonjwa huo vimeongezeka hadi karibia 700.
Zaidi ya watoto milioni tatu wanahitaji msaada wa kibinadamu na wako katika hatari kubwa ya magonjwa yanayotokana na maji, kuzama na utapiamlo kutokana na mafuriko makubwa zaidi katika historia ya hivi majuzi ya Pakistan
Ukame mkali katika kaunti ya Marsabit unatatiza masomo ya watoto, huku wengi wao wakilazimika kuacha shule.
Maafisa wa upelelezi katika Kaunti ya Kiambu wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi wa kidato cha kwanza anadaiwa kuwaua ndugu zake watatu na binamu yake katika muda wa mwaka mmoja uliopita. Kulingana na KBC, Mtoto huyo alipokuwa katika kituo cha Polisi cha Kikuyu, alikiri kwa wapelelezi jinsi alivyowaua ndugu zake, mmoja akiwa na umri wa miezi 15, […]
Shock as 15 year old girl confesses to killing her siblings aged 15 months, 5 years and 7 years in the months of July, August and September 2021. The form one girl also confesses to have drowned her 20 months old cousin at Gathiga village, Kabete sub county, in a well in their compound in […]
A study conducted in 2021 and published last week in the Journal of Advances in Sports and Physical Education has revealed that three in every ten school-going children in Kakamega county are overweight. The study involved a sample size of four hundred children in twenty-four schools, both public and private. According to the findings of […]
The Kenya National Library- Meru Branch has come up with an outreach program that includes vulnerable children as part of their literacy program. They include street children and those living in children’s homes. The head of ICT in the KNS Meru branch Mr.Isaiah Lameck revealed that they aim at transforming street children and encouraging the […]
One child is reported to have died following the Swine Flu Outbreak in Nakuru County’s Elementaita after the first case of the virus on July 27, 2022. This came in after eight people got admitted to Kiptangwany hospital after displaying H1N1 flu symptoms. These were 8 children under five that got admitted for the same. […]
Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]
Takriban watoto bilioni moja walio na umri wa miaka 2-17 huathiriwa na ukatili wa kimwili, kingono, au kihisia kila mwaka.