Prudential PLC imeshirikiana na kituo cha TV cha watoto cha Akili Kids, ili kutoa ujuzi wa kifedha kwa watoto nchini Kenya, hasa walio na umri wa miaka 7 hadi 12, kwa mnamo wa kila wiki. Mpango huo mpya umezinduliwa kupitia shirika la CSR la kampuni, Prudence Foundation huku ukilenga kufikia zaidi ya watoto milioni sita. […]
Tag: Kenya
About 60,000 children and youth live on the streets of Nairobi and this number is increasing. For many children, their day to day survival can rely on scavenging, begging and picking through rubbish, they are vulnerable and in risk of being subjected to discrimination and marginalization, making it more and more difficult for them to […]
As drought continues to worsen in 20 of 23 ASAL (Arid and Semi-Arid Land) counties in Kenya, children and pregnant women are the most at risk of acute malnutrition. Worsening food security situation in most of the households has resulted in acute malnutrition rates across the counties. According to NDMA (National Drought Management Authority) statistics, […]
Maafisa wa upelelezi katika Kaunti ya Kiambu wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi wa kidato cha kwanza anadaiwa kuwaua ndugu zake watatu na binamu yake katika muda wa mwaka mmoja uliopita. Kulingana na KBC, Mtoto huyo alipokuwa katika kituo cha Polisi cha Kikuyu, alikiri kwa wapelelezi jinsi alivyowaua ndugu zake, mmoja akiwa na umri wa miezi 15, […]