mtoto.news

Categories
Data Stories

Data ya MoH : Kiwango cha vifo vya watoto wachanga kimepungua

Kumekuwa na upungufu kwa asilimia 30 kwa idadi ya watoto wanaokufa kabla ya kufikisha miaka mitano. Hii imechangiwa na kuongezeka kwa unywaji wa ORS na Zinki kwa ajili ya udhibiti wa kuhara kwa watoto walio chini ya miaka mitano na kuboreshwa kwa unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee. Kuanzishwa kwa chanjo mpya za utotoni kama […]

Categories
Latest News

Safaricom Kutambulisha Nambari Za Simu Kwa Watoto na Vijana

Safaricom itatambulisha nambari za simu kwa vijana, na kuwaruhusu kuokoa pesa kutumia M-Pesa, kutuma ujumbe mfupi na hata kupiga simu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Telco (Mkurugenzi Mtendaji) Peter Ndegwa, hata hivyo, alisema kwamba, nambari hizo zitasajiliwa chini ya maelezo ya wazazi. Kuanzishwa kwa laini hii, kutawawezesha vijana kupata huduma muhimu kama vile M-Pesa, na hivyo […]

Categories
Education Education education Latest News

Ushirikishwaji wa umma katika marekebisho ya mtaala unaozingatia umahiri(CBC)

Mtaala unaozingatia umahiri ulichukua nafasi kubwa Mjini Lodwar wakati wa kongamano la ushiriki wa umma  lililoitishwa na Chama cha Rais kuhusu Marekebisho ya Elimu. Timu inayoongoza ya Prof Raphael Munavu ilisikiliza kwa makini wananchi walio na shauku, hasa washikadau wa elimu walipokuwa wakitoa maoni yao kuhusu mageuzi ya elimu. Prof Munavu alisema kwamba, chama cha […]

Categories
Data Stories Health Uncategorized

Kenya: Ukosefu wa mvua, unyanyasaji wa nyumbani na utapiamlo

UNICEF imeonya kwamba, ukosefu wa mvua nchini Kenya kumewasababisha watoto wapatao milioni 1.4 kukosa chakula chenye lishe bora, na maji safi ya kunywa. Watoto hao pia wanakosa elimu, huduma za afya na ulinzi dhidi ya ukatili na kutelekezwa. Turkana ni miongoni mwa kaunti 15 zilizokumbwa na ukame nchini Kenya kutokana na mabadiliko ya hali ya […]

Categories
Data Stories Health Uncategorized

Kenya: Watoto milioni 16 hatarini kutokana na umaskini na mabadiliko ya hali ya hewa

Takriban watoto milioni 16.4 nchini Kenya, ambayo ni sawa na asilimia 67 ya idadi ya watoto nchini humo, wameathiriwa na umaskini na athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa.

Categories
Education Education education Latest News

Makali ya Njaa yawaweka watoto nje ya madarasa

Shuleni Kavunzoni, watoto wengi wanalilia njaa huku wengi wao wakikosa kuwa makini darasani, ni misimu minne sasa isiyo na mvua mjini Ganze kaunti ya kilifi. Udongo umemumunyuka na ardhi imekomaa, watoto hawapati chajio wala kiamsha kinywa. Imekadiria miaka mitano sasa, ambapo wenyeji hawajaweza kupanda wala kuvuna chochote kile,ila hio ndio hali ambayo watoto kama Moses […]

Categories
Uncategorized

The Boy Child and The Silent Crisis

October 11th of every year is the International day of the child. The world comes together to commemorate the steps made in empowering and securing the girl child. May 16th of each year has been observed as International Day of the Boy Child. This is a day dedicated to the whole world to focus on […]

Categories
Education Education education Entertainment

Kenya: Uzinduzi wa programu ya elimu ya kifedha kwa watoto

Prudential PLC imeshirikiana na kituo cha TV cha watoto cha Akili Kids, ili kutoa ujuzi wa kifedha kwa watoto nchini Kenya, hasa walio na umri wa miaka 7 hadi 12, kwa mnamo wa kila wiki. Mpango huo mpya umezinduliwa kupitia shirika la CSR la kampuni, Prudence Foundation huku ukilenga kufikia zaidi ya watoto milioni sita. […]

Categories
Latest News

A tale of stalled Sh126m Ruai center for street children

About 60,000 children and youth live on the streets of Nairobi and this number is increasing. For many children, their day to day survival can rely on scavenging, begging and picking through rubbish, they are vulnerable and in risk of being subjected to discrimination and marginalization, making it more and more difficult for them to […]

Categories
Health Latest News

About a million children under 5 in dire need of malnutrition treatment

As drought continues to worsen in 20 of 23 ASAL (Arid and Semi-Arid Land) counties in Kenya, children and pregnant women are the most at risk of acute malnutrition. Worsening food security situation in most of the households has resulted in acute malnutrition rates across the counties. According to NDMA (National Drought Management Authority) statistics, […]