mtoto.news

Categories
Education Education education

Wizara yawashinikiza wazazi na walezi kuwapeleka watoto shuleni

  Katika azma yake ya kufikia mabadiliko ya asilimia 100 kutoka shule ya msingi hadi ya upili, Utawala wa Serikali ya Kitaifa na Wizara ya Elimu wanapanga kufanya msako wa nyumba hadi nyumba, ili kuwatafuta wanafunzi waliopotea ambao walifanya mtihani wao wa Cheti cha Elimu ya Sekondari nchini Kenya mwaka jana. Kundi la viongozi katika […]

Categories
Child Rights Latest News OCSEA

Beatrice Mwende; Aliyewaua Watoto Wake Wanne Ahukumiwa Kifungo cha Maisha

    Beatrice Mwende, mwalimu wa Hisabati anayeishi Naivasha ambaye aliwaua watoto wake wanne mnamo Juni 2020, atatumikia kifungo cha maisha jela kwa mauaji hayo. Jaji wa Mahakama Kuu ya Naivasha Grace Nzioka alipuuzilia mbali utetezi wa Mwende kwamba alikuwa na mapepo alipowaua binti zake watatu na mwanawe mmoja. Mfungwa huyo mwenye umri wa miaka […]

Categories
Data Stories Health

Mataifa 12 ya Afrika yaahidi kutokomeza VVU kwa watoto ifikapo mwaka 2030

Mawaziri na wawakilishi kutoka nchi 12 za Afrika wamejitolea  na kuweka mipango ya kumaliza UKIMWI kwa watoto ifikapo mwaka 2030. Nchi hizo ziliahidi kwamba, zitahakikisha watoto wote wenye VVU wanapata matibabu ya kuokoa maisha na hata akina mama wanaoishi na ugonjwa huo hawataweza kuwasambazia watoto wao. Katika taarifa ya pamoja baada ya mkutano ulioandaliwa na Tanzania, washirika wa […]

Categories
Data Stories

Tujitahidi Kutengeneza Mazingira Salama Ambapo Watoto Wanaweza Kujifunza na Kukua

Suala la changamoto za ulinzi wa watoto katika jamii na shule ni jambo la kusikitisha mno, kwani mara nyingi wanafunzi ndio waathiriwa, huku wahusika wakuu wakiwa walimu wao. Kati ya mwaka wa 2014 na 2019, takriban walimu 125 kwa mwaka waliachishwa kazi na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kwa sababu ya unyanyasaji wa kijinsia […]

Categories
Climate Change

Wito wa Ruto wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa

Rais wa Kenya, William Ruto, aita wito wa Nchi zote Afrika, katika kuungana mkono ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Mataifa maskini, hasa yaliyomo barani Afrika, yameathiriwa vibaya na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikizidisha ukame na mafuriko. Rais William Ruto amesema kwamba, sasa ni wakati muafaka kwa Afrika kukabiliana na mabadiliko […]

Categories
Child Rights Education Education education

Wazazi Waonywa Dhidi ya Kuwatelekeza Watoto Wao

Wazazi katika Kaunti ya Pokot Magharibi wameonywa dhidi ya kukwepa majukumu yao ya uzazi, na kuhimizwa kutanguliza elimu ili kukuza vizazi  vya kesho. Kamishna Msaidizi wa Kaunti ya Tapach (ACC) Ibrahim Masiaga alibainisha kuwa, ofisi yake imekuwa ikishughulikia visa vingi vya utelekezaji wa watoto, haswa katika suala la watoto wale waliokusudiwa kuvuka kidato cha kwanza […]

Categories
Education Education education Latest News

Tanzania Yapiga Marufuku Vitabu vya Watoto Vinavyokiuka Mila na Desturi za Maadili

  Serikali ya Tanzania imepiga marufuku vitabu kadhaa vya watoto vinavyoashiria elimu ya ngono, kwa madai ya kukiuka “mila na desturi za maadili” katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki ambapo ushoga ni uhalifu. “Tunapiga marufuku vitabu hivi katika shule na miundo mingine ya elimu kwa sababu ni kinyume na viwango vya kitamaduni na maadili,” Waziri […]

Categories
Child Rights Education Education education

Mradi Wa Kuongeza Ufikiaji wa Elimu kwa Kila Mtoto

Gavana Benjamin Cheboi ametoa shukrani zake kwa World Vision wanapoanzisha mradi wa mamilioni ya ujenzi wa shule ya kwanza ya upili katika eneo la Akoret, iliyoko Kaunti Ndogo ya Tiaty Magharibi ambayo inanuia kuimarisha elimu. Cheboi alikuwa akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika uwanja wa shule hiyo huku akiandamana na viongozi […]

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Tetemeko la ardhi Uturuki/Syria;Watoto walioachwa yatima wanakabiliwa na mustakabali usio na uhakika

Kila mtoto ana haki ya kuwa na afya njema na kukuzwa katika mazingira salama na safi. Kila mtoto ana haki ya kuishi na kukua kwa njia bora zaidi, ila baada ya mtetemeko wa ardhi huko maeneo ya Uturuki na Syria watoto wengi wameachwa katikati ya ghasia, uharibifu na machafuko. Aya alizaliwa chini ya vifusi vya […]

Categories
Education Education education

Elimu Bora kwa Wote

Serikali imedhamiria kushughulikia matatizo yanayokwamisha upatikanaji wa elimu bora kwa watoto hasa wale walio katika Maeneo Kame na Nusu Kame (ASALs) nchini. Katibu wa Baraza la Mawaziri la Elimu Bw. Ezekiel Machogu alisema serikali imeanzisha Baraza la Kitaifa la Elimu ya Wahamaji nchini Kenya (NACONEK) ili kutoa miundo na kusaidia elimu katika maeneo yote ya […]