mtoto.news

Categories
Education Education education Latest News

Shule Kadhaa Kusalia Kufungwa Jumatatu

Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]

Categories
Education education Stories by Children

Why We Should Make Better Choices for Our Children

Kenya is a step closer to being a 2nd world country. If we are trying to bring our country to being a 1st world, it would be best to take time and look at the current 1st world countries. The USA for example. Why aren’t we hearing cases about education there? Why is it us? […]

Categories
Education Education education Latest News

Kufungwa Ghafla kwa Shule Kumewatatiza Wazazi

Wazazi ambao wamelazimika kutafuta nauli ya safari za watoto wao kurudi nyumbani, wamesikitishwa na agizo la kufungwa kwa shule hii leo, huku wakieleza kuwa hatua hiyo ni ya kutozingatia.

Categories
Education Education education Latest News

Education CS Prof. Magoha orders for Schools closure tomorrow for Elections

Education Cabinet Secretary George Magoha. Photo: Ministry of Education. Source: Facebook Education Cabinet Secretary Prof. George Magoha has ordered for the immediate closure of Schools for one week from Tuesday 2nd August until August 10 2022 to give way for elections preparations. “As you are aware, Kenya is scheduled to conduct its national elections on […]

Categories
Education education

Chinese Companies in Kenya to Invest More in Kenya’s Education Sector

By Raisa Okwaras The Chinese companies operating in Kenya have publicized their plan to pour more resources into the education sector in Kenya. The Chinese enterprises issued a statement on Tuesday, June 7, 2022, where they pledged to carry on their support to the learning environment in schools in Kenya. To them, this is a […]