Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]
Category: Education education
Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]
Waziri wa Elimu George Magoha ametangaza kwamba tarehe ya kufunguliwa kwa shule imebadilishwa kutoka Jumatatu 15 hadi Alhamisi 18, 2022.
Kenya is a step closer to being a 2nd world country. If we are trying to bring our country to being a 1st world, it would be best to take time and look at the current 1st world countries. The USA for example. Why aren’t we hearing cases about education there? Why is it us? […]
Wazazi ambao wamelazimika kutafuta nauli ya safari za watoto wao kurudi nyumbani, wamesikitishwa na agizo la kufungwa kwa shule hii leo, huku wakieleza kuwa hatua hiyo ni ya kutozingatia.
Education Cabinet Secretary George Magoha. Photo: Ministry of Education. Source: Facebook Education Cabinet Secretary Prof. George Magoha has ordered for the immediate closure of Schools for one week from Tuesday 2nd August until August 10 2022 to give way for elections preparations. “As you are aware, Kenya is scheduled to conduct its national elections on […]
By Raisa Okwaras The Chinese companies operating in Kenya have publicized their plan to pour more resources into the education sector in Kenya. The Chinese enterprises issued a statement on Tuesday, June 7, 2022, where they pledged to carry on their support to the learning environment in schools in Kenya. To them, this is a […]