mtoto.news

Categories
Child Rights Climate Change Education Education education

Zaidi ya Watoto Milioni 3.5 Kukosa Shule mnamo Januari 2023 Kutokana na Ukame :Save The Children.

  Zaidi ya watoto milioni 3.5 nchini Kenya wako kwenye hatari ya kukosa kuenda shule wakati zitakapofunguliwa kwa muhula wa kwanza hapo Januari mwaka ujao kwa sababu ya ukame unaoendelea, shirika la misaada ya kibinadamu la Save the Children limesema. Utafiti wa 2021 wa Global Out of School Children Initiative ulibaini kuwa kuna zaidi ya […]

Categories
Education Education education Latest News

Ushirikishwaji wa umma katika marekebisho ya mtaala unaozingatia umahiri(CBC)

Mtaala unaozingatia umahiri ulichukua nafasi kubwa Mjini Lodwar wakati wa kongamano la ushiriki wa umma  lililoitishwa na Chama cha Rais kuhusu Marekebisho ya Elimu. Timu inayoongoza ya Prof Raphael Munavu ilisikiliza kwa makini wananchi walio na shauku, hasa washikadau wa elimu walipokuwa wakitoa maoni yao kuhusu mageuzi ya elimu. Prof Munavu alisema kwamba, chama cha […]

Categories
Education Education education Uncategorized

Kilifi: Ukosefu wa madarasa, changamoto kwa utekelezaji wa CBC

Wakati kikundi kazi cha wanachama 49 kinajadili jinsi ya kurekebisha sekta ya elimu kwa mtaala unaozingatia umahiri kama kazi yake ya kwanza, walimu na wanafunzi katika maeneo ya mbali yaliyokumbwa na ukame wanatatizika kuendana na majukumu mapya kulingana na mtaala. Lakini kazi hizo ni kidokezo tu kwani ukosefu wa vyumba vya madarasa umefanya mchakato wa […]

Categories
Education Education education Latest News

Makali ya Njaa yawaweka watoto nje ya madarasa

Shuleni Kavunzoni, watoto wengi wanalilia njaa huku wengi wao wakikosa kuwa makini darasani, ni misimu minne sasa isiyo na mvua mjini Ganze kaunti ya kilifi. Udongo umemumunyuka na ardhi imekomaa, watoto hawapati chajio wala kiamsha kinywa. Imekadiria miaka mitano sasa, ambapo wenyeji hawajaweza kupanda wala kuvuna chochote kile,ila hio ndio hali ambayo watoto kama Moses […]

Categories
Education Education education

Gachagua: CBC haiendi popote

Naibu Rais Rigathi Gachagua amethibitisha kuwa Mtaala wa Kuzingatia Umahiri (CBC) hautafutiliwa mbali. Akizungumza Jumatano katika Taasisi ya Utafiti ya Cemastea, Gachagua alisema kwamba, serikali itaboresha zaidi CBC. “CBC haiendi popote, haijafutwa bali itaboreshwa tu,” alisema. Aliongoza uzinduzi wa siku tatu za kuanzishwa kwa Kikosi Kazi cha Marekebisho ya Elimu. Jopokazi la wanachama 49 liliundwa na Rais William […]

Categories
Education Education education Latest News

Kenya: Wadau wa Elimu Wajitolea Kufundisha usimbaji(coding)Shuleni

Chama cha Shule za Kimataifa cha Kenya (KAIS) kwa ushirikiano na kampuni ya Education Technologies, Kodris Africa na Kenya Commercial Bank waliitisha kongamano la ujuzi wa Kidijitali mnamo Alhamisi lililowaleta pamoja wadau mbalimbali kutoka sekta ya elimu na ICT. Tukio hilo lilijikita katika mtaala wa kompyuta na usimbaji (coding)na umuhimu wa kujumuisha ujuzi wa kidijitali […]

Categories
Education education

Kenya has Moderate Risk of Ongoing and Future Crises Disrupting Education; Report

The number of children whose education is affected by crisis globally has increased significantly from 75 million in 2016 to 222 million in 2022 according to Save the Children report Build Forward Better 2022. Closure of schools due Covid19 was identified as the main contributing factor to this significant increase of children at risk of […]

Categories
Education Education education

President Ruto’s taskforce to assess the CBC

During his tour in Homabay County, President Ruto pointed out that after a thorough public participation the 42-member taskforce committee formed to assess the CBC curriculum will ensure they make changes in the curriculum. “I formed a special taskforce to look into the CBC curriculum so that the curriculum can help our children and also […]

Categories
Education Education education Entertainment

Kenya: Uzinduzi wa programu ya elimu ya kifedha kwa watoto

Prudential PLC imeshirikiana na kituo cha TV cha watoto cha Akili Kids, ili kutoa ujuzi wa kifedha kwa watoto nchini Kenya, hasa walio na umri wa miaka 7 hadi 12, kwa mnamo wa kila wiki. Mpango huo mpya umezinduliwa kupitia shirika la CSR la kampuni, Prudence Foundation huku ukilenga kufikia zaidi ya watoto milioni sita. […]

Categories
Education Education education Latest News

Wazazi waghadhabishwa na picha za watoto wakitoa kuku manyoya wakati wa mafunzo ya CBC

Wazazi wengi wameonyesha hasira yao mitandaoni baada ya picha ya wanafunzi wakitoa kuku manyoya kusambaa mitandaoni. Wananchi walionyesha wasiwasi kupitia twitter, huku wakikashifu mtaala wa CBC na wakisema kwamba, usalama wa watoto hao haukuzingatiwa kamwe, kwani kulikuwa na utumiaji wa visu na maji ya moto wakati wa matayarisho hayo ya kuku. I don't like CBC […]