Gavana wa Mombasa Abdulswamad Nassir ametangaza huduma za afya bila malipo kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano katika Hospitali ya Rufaa ya Pwani (CGTRH) na vituo vyake vyote vya mawasiliano. Nasir pia alifichua kuwa kaunti imeanza mipango ya kuanza kugharamia bili za matibabu kwa wagonjwa walio na mahitaji na vile vile kusajili […]
Category: Health
Afghanistan inasalia kuwa miongoni mwa maeneo ambayo yamepata majanga mabaya zaidi ya kibinadamu duniani huku Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch katika ripoti ya hivi majuzi lilisema kwamba thuluthi mbili ya wakazi wa nchi ya Afghanistan wana uhaba wa chakula. “Afghanistan kwa kiasi kikubwa imetoweka kutoka kwa vyombo vya habari, lakini […]
Recent statistics show that an estimated 13.4 million babies were born pre-term in 2020, with nearly 1 million dying from preterm complications.in addition, at least 152 million vulnerable babies were born too soon from 2010 to 2020 This is equivalent to around 1 in 10 babies born early worldwide according to a new report released […]
In an aim to reduce anemia among children and women, World Health Organization has launched a new framework to half its prevalence by 2050. Taking a different path from the previous work-frames, the new framework will tackle the direct causes, risk factors, and broad social inequities that are fundamental drivers of anemia rather than focusing […]
A 13-years old boy from Ohio USA has died after overdosing on Benadryl as part of a viral TokTok challenge. According to his family Gofundme account Jacob Stevens’ body began to seize up after he swallowed a large amount of the antihistamine allergy pills as his friends filmed to see what would happen. Participants of […]
To reduce malnutrition among adolescent girls in Africa, the African Union in collaboration with Nutrition International last week launched an advocacy campaign dubbed ‘With Good Nutrition, She’ll Grow into It’. The two-year campaign aims promote health, well-being and empowerment of girls through efforts that prevent anaemia, an iron-deficiency condition, and galvanises the support of policymakers […]
A family from Mukuru Kwa Ruben is crying for Justice after their seven years old son was left with life threatening injuries during anti-government protest on March the 20th. The family of Louise Musela claims he was hit by a teargas canister during the riots and for the past two weeks he has been confined […]
Wadau na wazazi walio na watoto walioathiriwa na usonji wamejitokeza na kutoa wito kwa serikali ya kitaifa na kaunti kuweka vifaa vitakavyowahudumia na kusaidia katika maendeleo ya watoto hao. Akihutubia wanahabari huko Uriri wakati wa Siku ya Autism Duniani, Caroline Kisuge wa Jonathan Rays of Hope alisema kuwa nchi haina vifaa vya kujifunzia ambavyo vinaweza […]
Sacred Heart Mukumu Girls’ High School in Kakamega County has closed indefinitely following the deaths of two students in a case of suspected food and water poisoning resulting in bacterial infection. The school says one of the student hails from Bungoma and another from Navakholo in Kakamega County. It is reported that more than 500 […]
Healthy kids and teenagers will not receive Covid19 vaccine according to the World Health Organization. This they said is because this group is considered low priority. This decision was reached after vaccine experts revised global Covid-19 vaccination recommendations. The low priority group includes healthy children and adolescents who are aged 6 months to 17 years […]