Mahakama ya Nairobi imeahirisha kesi ya wizi wa watoto dhidi ya Askofu Gilbert Juma Deya baada ya hakimu wa mahakama kusema alikuwa mgonjwa. Deya, ambaye alifika mbele ya hakimu mkuu mwandamizi wa Milimani Robison Ondieki hapo jana, alikuwa tayari kwa kusikilizwa na kujitetea pamoja na wakili wake John Swaka. Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali Nicholas […]
Tag: Children
Unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto kwa bahati mbaya ni mwiko kwenye jamii zetu, na mara nyingi, hakuna anayejadili suala hili licha ya kuenea kwake katika jamii. Walakini, wakati tutakapojitahidi kuleta mwanga kwenye ukweli huu, basi tutaweza kuokoa watoto wengi mno. Tafadhali soma mambo haya kumi, yaliyo na ukweli kuhusu unyanyasaji wa kingono kwa watoto, na […]
Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu ya Kenya inaonyesha kuwa msichana mmoja kati ya wanne na mvulana mmoja kati ya kila mvulana tisa hudhulumiwa kingono kabla ya kufikisha umri wa miaka 18. Ripoti hiyo pia inafichua kuwa ni asilimia 41 tu ya wanawake na asilimia 39.2 ya wanaume waliokumbana na aina yoyote ya ukatili ndio walioweza […]
Naam, mara nyingi kila mtu huimba, “Elimu kwa wote”, “Elimu ya bure”, ila ukweli wa mambo ni kwamba, elimu iko na bei ya juu mno, jambo linalowafanya watoto wengi wakose kupata masomo. Ahadi ya elimu ya msingi na sekondari kwa wote ni mojawapo ya Malengo ya Maendeleo Endelevu . Hata hivyo mwaka wa 2020, takriban watoto milioni 64 […]
Katika azma yake ya kufikia mabadiliko ya asilimia 100 kutoka shule ya msingi hadi ya upili, Utawala wa Serikali ya Kitaifa na Wizara ya Elimu wanapanga kufanya msako wa nyumba hadi nyumba, ili kuwatafuta wanafunzi waliopotea ambao walifanya mtihani wao wa Cheti cha Elimu ya Sekondari nchini Kenya mwaka jana. Kundi la viongozi katika […]
Suala la changamoto za ulinzi wa watoto katika jamii na shule ni jambo la kusikitisha mno, kwani mara nyingi wanafunzi ndio waathiriwa, huku wahusika wakuu wakiwa walimu wao. Kati ya mwaka wa 2014 na 2019, takriban walimu 125 kwa mwaka waliachishwa kazi na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kwa sababu ya unyanyasaji wa kijinsia […]
Rais wa Kenya, William Ruto, aita wito wa Nchi zote Afrika, katika kuungana mkono ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Mataifa maskini, hasa yaliyomo barani Afrika, yameathiriwa vibaya na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikizidisha ukame na mafuriko. Rais William Ruto amesema kwamba, sasa ni wakati muafaka kwa Afrika kukabiliana na mabadiliko […]
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku vitabu kadhaa vya watoto vinavyoashiria elimu ya ngono, kwa madai ya kukiuka “mila na desturi za maadili” katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki ambapo ushoga ni uhalifu. “Tunapiga marufuku vitabu hivi katika shule na miundo mingine ya elimu kwa sababu ni kinyume na viwango vya kitamaduni na maadili,” Waziri […]
Gavana Benjamin Cheboi ametoa shukrani zake kwa World Vision wanapoanzisha mradi wa mamilioni ya ujenzi wa shule ya kwanza ya upili katika eneo la Akoret, iliyoko Kaunti Ndogo ya Tiaty Magharibi ambayo inanuia kuimarisha elimu. Cheboi alikuwa akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika uwanja wa shule hiyo huku akiandamana na viongozi […]
Kila mtoto ana haki ya kuwa na afya njema na kukuzwa katika mazingira salama na safi. Kila mtoto ana haki ya kuishi na kukua kwa njia bora zaidi, ila baada ya mtetemeko wa ardhi huko maeneo ya Uturuki na Syria watoto wengi wameachwa katikati ya ghasia, uharibifu na machafuko. Aya alizaliwa chini ya vifusi vya […]