Kulingana na Utafiti wa Demografia na Afya wa Kenya wa 2022, asilimia 15 ya wasichana wenye umri wa kati ya miaka 15 na 19 wamewahi kupata mimba. Takwimu hii huongezeka kila wanakuwa wakubwa kutoka asilimia 3 kati ya watoto wa miaka 15 hadi asilimia 31 kati ya wale wenye umri wa miaka 19. Hii […]
Tag: Education
Wazazi katika Kaunti ya Pokot Magharibi wameonywa dhidi ya kukwepa majukumu yao ya uzazi, na kuhimizwa kutanguliza elimu ili kukuza vizazi vya kesho. Kamishna Msaidizi wa Kaunti ya Tapach (ACC) Ibrahim Masiaga alibainisha kuwa, ofisi yake imekuwa ikishughulikia visa vingi vya utelekezaji wa watoto, haswa katika suala la watoto wale waliokusudiwa kuvuka kidato cha kwanza […]
Gavana Benjamin Cheboi ametoa shukrani zake kwa World Vision wanapoanzisha mradi wa mamilioni ya ujenzi wa shule ya kwanza ya upili katika eneo la Akoret, iliyoko Kaunti Ndogo ya Tiaty Magharibi ambayo inanuia kuimarisha elimu. Cheboi alikuwa akizungumza wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika uwanja wa shule hiyo huku akiandamana na viongozi […]
Takriban wasichana 317 wajawazito ni miongoni mwa maelfu ya watahiniwa wanaofanya mtihani wa Kutathmini Elimu ya Shule ya Msingi ya Kenya (KPSEA) na Cheti cha Elimu ya Msingi ya Kenya (KCPE) katika kaunti za South Rift. Jumla ya watahiniwa 292 wajawazito wanatoka katika kaunti ya Baringo, Bomet na Narok, huku wasichana 25 wajawazito wanatoka katika kaunti […]

Kenya National Examination Council (Knec) has put in place strict regulations and penalties that will affect both candidates and examination administrators found culpable of examination irregularities. This comes as students in form four, class eight and grade six prepare for national exams in the month of November. Some of the guidelines put in place include […]
Shuleni Kavunzoni, watoto wengi wanalilia njaa huku wengi wao wakikosa kuwa makini darasani, ni misimu minne sasa isiyo na mvua mjini Ganze kaunti ya kilifi. Udongo umemumunyuka na ardhi imekomaa, watoto hawapati chajio wala kiamsha kinywa. Imekadiria miaka mitano sasa, ambapo wenyeji hawajaweza kupanda wala kuvuna chochote kile,ila hio ndio hali ambayo watoto kama Moses […]
Kufuatia mvua kubwa na mafuriko nchini Sudan, makumi ya maelfu ya nyumba, visima na mashamba ya kilimo yameharibiwa huku familia 80,000 zikihitaji msaada wa kibinadamu makadirio ya Hilali Nyekundu ya Sudan (SRCS). Mashirika ya misaada yameonya kwamba, takriban kila mtoto aliye na umri wa kwenda shule nchini Sudan anakosa elimu, Baadhi ya majimbo nchini Sudan, […]

Most of us if not all have gone through the hands of teachers who molded us into wonderful human beings by doing tremendous and tedious work. Although they are paid, it can never be enough as they do more than they are paid for. Their commitment and zeal to bring out the best in our […]

The number of children whose education is affected by crisis globally has increased significantly from 75 million in 2016 to 222 million in 2022 according to Save the Children report Build Forward Better 2022. Closure of schools due Covid19 was identified as the main contributing factor to this significant increase of children at risk of […]
During his tour in Homabay County, President Ruto pointed out that after a thorough public participation the 42-member taskforce committee formed to assess the CBC curriculum will ensure they make changes in the curriculum. “I formed a special taskforce to look into the CBC curriculum so that the curriculum can help our children and also […]