mtoto.news

Categories
Education Uncategorized

Hofu ya Usalama wa Watoto Baada ya Matokeo ya Uchaguzi Kutangazwa

Wazazi wamesema kuwa, huenda wasiwaachilie watoto wao warudi shuleni hadi watakapohakikisha kuwa, hali ya kisiasa ipo salama kwa wanafunzi.

Categories
Education Education education Latest News

Kufungwa Ghafla kwa Shule Kumewatatiza Wazazi

Wazazi ambao wamelazimika kutafuta nauli ya safari za watoto wao kurudi nyumbani, wamesikitishwa na agizo la kufungwa kwa shule hii leo, huku wakieleza kuwa hatua hiyo ni ya kutozingatia.