Wakati ulimwengu unajiandaa kuadhimisha siku ya kimataifa ya watoto waliopotea, takwimu zimeonyesha kuwa, takriban watoto 6500 hupotea kila mwaka nchini Kenya, hii ni sawa na watoto 18 kila siku. Polisi wanasema kwamba, idadi hiyo inaweza kuwa kubwa zaidi ikizingatiwa kwamba watoto wengi zaidi waliopotea hawaripotiwi kamwe. Polisi sasa wanawataka wananchi kuripoti watoto waliopotea ili kupata […]
Tag: Children
Gavana wa Mombasa Abdulswamad Nassir ametangaza huduma za afya bila malipo kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano katika Hospitali ya Rufaa ya Pwani (CGTRH) na vituo vyake vyote vya mawasiliano. Nasir pia alifichua kuwa kaunti imeanza mipango ya kuanza kugharamia bili za matibabu kwa wagonjwa walio na mahitaji na vile vile kusajili […]
Afghanistan inasalia kuwa miongoni mwa maeneo ambayo yamepata majanga mabaya zaidi ya kibinadamu duniani huku Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch katika ripoti ya hivi majuzi lilisema kwamba thuluthi mbili ya wakazi wa nchi ya Afghanistan wana uhaba wa chakula. “Afghanistan kwa kiasi kikubwa imetoweka kutoka kwa vyombo vya habari, lakini […]
Watoto hupitia aina kadha wa kadha za ukatili, unyonyaji na hata unyanyasaji. Hutokea katika kila nchi, na katika maeneo ambayo watoto wanapaswa kulindwa zaidi, aidha ni majumbani mwao, shuleni na hata mitandaoni. Wakaazi wa jamii ya Samia katika Kaunti ya Busia wamehimizwa kuweka kipaumbele ulinzi wa watoto ili kupunguza visa vya unyanyasaji wa watoto na […]
Rais William Ruto ametangaza kuwa kutoka sasa, taasisi za mafunzo zitafunza lugha ya Kijerumani. Akizungumza wakati wa vyombo vya habari vilivyofanyika Ikulu, Nairobi, mkuu wa nchi alisema hatua hiyo itawezesha nchi hizo mbili kuziba pengo la lugha. “Tulikubaliana kuanzisha ufundishaji na ujifunzaji wa Kijerumani katika taasisi za elimu ya msingi, TVET na taasisi zingine za […]
Mapema Aprili mwaka wa 2023, mchungaji Paul Makenzi wa Good News International mjini Kilifi, alikamatwa na maafisa wa Kurugenzi ya Upelelezi wa Jinai kwa madai ya kuua na kuwazika watoto katika makaburi ya kina kirefu. Tangia hapo, wachunguzi wameweza kufukua miili iliyopita 110 hadi sasa, huku wengi wao wakiwa watoto. Isitoshe […]
Wadau wa elimu katika Kaunti ya Murang’a wamekutana ili kujadiliana kuhusu jinsi ya kupunguza Unyanyasaji wa Kijinsia (GBV) katika juhudi za kuimarisha ubora wa elimu. Wakati wa mkutano wa uhamasishaji uliofanyika Jumatatu katika Shule ya Msingi ya Teknolojia mjini Murang’a, Mkurugenzi wa Elimu kaunti ndogo ya Murang’a Mashariki Samuel Ruitha alisema kuwa watoto wameathiriwa na GBV […]
Wadau na wazazi walio na watoto walioathiriwa na usonji wamejitokeza na kutoa wito kwa serikali ya kitaifa na kaunti kuweka vifaa vitakavyowahudumia na kusaidia katika maendeleo ya watoto hao. Akihutubia wanahabari huko Uriri wakati wa Siku ya Autism Duniani, Caroline Kisuge wa Jonathan Rays of Hope alisema kuwa nchi haina vifaa vya kujifunzia ambavyo vinaweza […]

Two weeks ago the International Criminal Court (ICC) issued an arrest warrant against Russian President Vladimir Putin, accusing him of the war crime of illegally deporting hundreds of children from Ukraine to Russia. According to Ukraine more than 16,000 children have been illegally transferred to Russia or Russian-occupied territories in Ukraine. In addition, a U.S.-backed report […]
Wakati migogoro inapotokea, basi watoto ndio waumiao zaidi. Jumatatu tarehe 20 2023 wiki iliyopita, kiongozi wa upinzani Raila Odinga, aliitisha Maandamano ya nchi nzima ili kupinga kupanda kwa gharama ya maisha nchini Kenya na ushindi wa rais William Ruto katika uchaguzi. Ikifwatia habari inayosema kwamba mwanafunzi wa chuo kikuu aliuawa huku zaidi ya watu 200 […]