Jaji Mkuu Martha Koome ametaja maeneo muhimu ambayo Mahakama itaweka kipaumbele kuelekea siku zijazo. Juu ya orodha hiyo ni upatikanaji wa haki kwa watoto, kukuza utatuzi mbadala wa migogoro, kupunguza msongamano wa mfumo wa haki na haki ya uchaguzi, miongoni mwa mengine. “Tunalenga kuweka mfumo wa haki ulio salama ambao unashughulikia ipasavyo watoto wanaowasiliana na […]
Author: khadija Mbesa
Idara ya Jimbo la Huduma za Urekebishaji na Idara ya Mahakama zimeanza kushughulikia kuondoa msongamano magerezani hasa katika mchakato unaolenga wakosaji wa uhalifu mdogo mdogo, pamoja na akina mama. Katibu Mkuu katika Idara hiyo Mary Muthoni, alifanya ziara ya ghafla hapo Jumatatu katika Gereza la Nakuru ambapo alisema kwamba, hatua hiyo ililenga kupunguza mateso ya watoto […]
Msururu wa migogoro iliyounganishwa inatarajiwa kuwa na athari kubwa kwa watoto mwaka wa 2023. Ripoti kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF), iliyotolewa Jumanne, inaeleza kwa kina mielekeo ambayo itabadilisha maisha yao katika kipindi cha miezi 12 ijayo. Ripoti hiyo, “Matarajio ya Watoto Mwaka 2023: Mtazamo wa Ulimwenguni”, pia inaangalia anuwai ya maeneo mengine […]
Shirika la misaada la MSF limeripoti ongezeko la asilimia 33 ya wagonjwa wenye utapiamlo katika eneo kubwa la Dadaab baada ya watu kufurika kutoka Somalia iliyokumbwa na ukame. Utapiamlo miongoni mwa watoto umeongezeka, hasa katika mojawapo ya kambi kubwa zaidi za wakimbizi duniani mwaka uliopita huku wasiwasi ukiongezeka kutokana na hali mbaya zaidi katika eneo […]
Watu wazima wengi hua na mafikira ya kwamba, utoto na ujana ndio wakati ulio na furaha zaidi maishani, ila ukweli ni kwamba, watoto wengi na vijana wana uwezekano mkubwa wa kupata mateso ya dhiki na mafadhaiko ambazo huweza kusababisha unyogovu kwa watoto hao. Uchunguzi unaonyesha kuwa, kwa kila vijana wanne, kuna uwezekano wa kijana mmoja […]
Shule zote zilizo Afrika Mashariki zinaanza muhula wa kwanza mwaka huu, huku zikikumbatiwa na hali ya kusumbua ya mara kwa mara ya kutafuta rasilimali ili kuhakikisha kwamba, elimu haina gharama kubwa. Kutoka Tanzania hadi Rwanda, Kenya na Uganda, msururu wa vifaa duni vya kujifunzia, walimu, msongamano wa wanafunzi na mkanganyiko wa ada utatawala wiki hii ya […]
Mabadiliko ya hali ya hewa bado yanaendelea kuwa mwiba mchungu katika maeneo tofauti tofauti ya Kenya. Taita Taveta ni miongoni mwa Kaunti ambazo zinakubwa na athari hizi za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukosefu wa maji na chakula kutokana na kukauka kwa vyanzo vya maji katika Kaunti hiyo, kumewalazimisha wakaazi wa eneo hilo kusafiri kwa […]
Kulingana na ripoti ya KDHS iliyotolewa leo, Kaunti ya Samburu inaongoza na asilimia 50 ya mimba za utotoni, huku Kaunti ya Nyeri na Nyandarua ikiwa na asilimia 5. Ripoti hiyo iliyofanywa na Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya Nchini Kenya(KDHS), kuanzia Februari 17 hadi Julai 13, 2022, ilihusisha takriban kaya 37,911. Ripoti hiyo imeangazia […]
Watoto watatu ni miongoni mwa watu wanane waliouawa katika kijiji cha Yell Kurkum huko Laisamis, Kaunti ya Marsabit. Kulingana na polisi, washambuliaji walifyatua risasi na kuwaua wanane hao ambao kati yao kulikuwa na wanaume watano, pamoja na watoto watatu. Kamanda wa polisi wa Mashariki Rono Bunei anasema kuwa, takriban majambazi 15 waliokuwa na bunduki walivamia […]
Washirika wa afya wako tayari kutumia mkakati wa chanjo ya nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha watoto walio katika maeneo ya mbali wanapokea dozi za surua-rubela. Wizara ya Afya kwa ushirikiano na Unicef na Gavi wanaendesha kampeni ya siku 10 ya chanjo katika kaunti saba zilizo hatarini zaidi za Mandera, Wajir, Garissa, Turkana, Pokot Magharibi na […]