mtoto.news

Categories
Uncategorized

Utahakikishaje kuwa talaka haiathiri maisha ya mtoto wako?

Kulingana na utafiti watu wanne kati ya elfu ulimwenguni waliofunga ndoa wamepitia talaka, na mara nyingi talaka hizi huathiri watoto. Athari za talaka kwa watoto ni nyingi mno, ila utajitahidi vipi katika kuhakikisha kuwa talaka haitamwathiri mtoto wako? La kwanza kabisa, ni kujizatiti katika kutowaangazia watoto kwenye mapigano yasiyoisha, au vita vya chuki vilopita mpaka. […]

Categories
Latest News

A tale of stalled Sh126m Ruai center for street children

About 60,000 children and youth live on the streets of Nairobi and this number is increasing. For many children, their day to day survival can rely on scavenging, begging and picking through rubbish, they are vulnerable and in risk of being subjected to discrimination and marginalization, making it more and more difficult for them to […]

Categories
Latest News

Ruto Ahimiza Juhudi Zilizojumuishwa ili Kupunguza Athari za Mabadiliko ya Hali ya Hewa.

Mabadiliko ya hali ya hewa nchini Kenya yanaendelea kuwaathiri watoto huku wengi wao wakikabiliwa na utapiamlo mkali unaohitaji matibabu ya haraka. Akiongea wakati wa hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa huko New York, Mheshimiwa William Ruto aligusia jinsi maisha ya wananchi yamezorota, haswa baada ya Covid-19 na jinsi mabadiliko ya hali ya […]

Categories
Health Uncategorized

Syria:Mlipuko wa kipindupindu wahatarisha Afya na Elimu ya Watoto

Shirika la Save the Children, lasema kwamba, maelfu ya watoto huko mashariki na kaskazini mwa Syria wako hatarini kutokana na kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa kipindupindu unaosababishwa na uhaba wa maji unaohusishwa na mabadiliko ya hali ya hewa na migogoro na matumizi ya maji machafu kutoka Mto Euphrates. Takriban watu 24 wamefariki kutokana na […]

Categories
Uncategorized

Je malezi ya mtoto nyumbani ni bora kuliko ya taasisi za watoto?

Kwa Sheria mpya ya Watoto na miongozo, serikali inadokeza kwamba familia ni mazingira ya malezi na ya kujali na ni mahali pazuri pa kumlea mtoto. Hivi sasa kuna usitishaji wa usajili wa taasisi mpya na Sheria ya Mtoto, 2022 inayotoa kipaumbele kwa matunzo mbadala ya kifamilia, tofauti na kukuzwa kwa watoto katika Makazi ya Watoto. […]

Categories
Health Latest News

About a million children under 5 in dire need of malnutrition treatment

As drought continues to worsen in 20 of 23 ASAL (Arid and Semi-Arid Land) counties in Kenya, children and pregnant women are the most at risk of acute malnutrition. Worsening food security situation in most of the households has resulted in acute malnutrition rates across the counties. According to NDMA (National Drought Management Authority) statistics, […]

Categories
Education Education education Latest News

Wazazi waghadhabishwa na picha za watoto wakitoa kuku manyoya wakati wa mafunzo ya CBC

Wazazi wengi wameonyesha hasira yao mitandaoni baada ya picha ya wanafunzi wakitoa kuku manyoya kusambaa mitandaoni. Wananchi walionyesha wasiwasi kupitia twitter, huku wakikashifu mtaala wa CBC na wakisema kwamba, usalama wa watoto hao haukuzingatiwa kamwe, kwani kulikuwa na utumiaji wa visu na maji ya moto wakati wa matayarisho hayo ya kuku. I don't like CBC […]

Categories
Education Education education latest latest Latest News

Ni Ipi Hatima ya CBC Baada ya William Ruto Kuapishwa?

Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]