mtoto.news

Categories
Data Stories Fact Checks Latest News Uncategorized

Msichana,15, Awaua Ndugu Zake 3 na Binamu

Maafisa wa upelelezi katika Kaunti ya Kiambu wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi wa kidato cha kwanza anadaiwa kuwaua ndugu zake watatu na binamu yake katika muda wa mwaka mmoja uliopita. Kulingana na KBC, Mtoto huyo alipokuwa katika kituo cha Polisi cha Kikuyu, alikiri kwa wapelelezi jinsi alivyowaua ndugu zake, mmoja akiwa na umri wa miezi 15, […]

Categories
Education Education education

Waziri wa Elimu Atupilia Mbali Mada ya Kuongezwa kwa Muhula

Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]

Categories
Education Education education Latest News

Shule Kadhaa Kusalia Kufungwa Jumatatu

Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]

Categories
Data Stories Latest News

Hatua Za Kuhakikisha Usalama wa Watoto walio Katika Jamii Zilizoathiriwa na Hali ya Hewa.

Takriban watoto bilioni moja walio na umri wa miaka 2-17 huathiriwa na ukatili wa kimwili, kingono, au kihisia kila mwaka.

Categories
Data Stories Feature Stories Health Uncategorized

Mgogoro wa Njaa Wawalazimu Watoto Wachanga Kuwaambata Ndugu Zao Shuleni Ili Kupata Mlo

Kulingana na Save the Children wazazi kutoka kaskazini-mashariki mwa Uganda wanalazimika kuwatuma watoto wao wachanga wa umri wa shule ya awali, shuleni pamoja na ndugu zao ili waweze kushiriki kwenye mlo wa bure shuleni kwani idadi ya familia zisizoweza kumudu chakula nyumbani inazidi kuongezeka. Natalina, aliye na miaka 10, anasoma katika shule ya jumuiya inayoungwa […]

Categories
Education Uncategorized

Hofu ya Usalama wa Watoto Baada ya Matokeo ya Uchaguzi Kutangazwa

Wazazi wamesema kuwa, huenda wasiwaachilie watoto wao warudi shuleni hadi watakapohakikisha kuwa, hali ya kisiasa ipo salama kwa wanafunzi.