Maafisa wa upelelezi katika Kaunti ya Kiambu wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi wa kidato cha kwanza anadaiwa kuwaua ndugu zake watatu na binamu yake katika muda wa mwaka mmoja uliopita. Kulingana na KBC, Mtoto huyo alipokuwa katika kituo cha Polisi cha Kikuyu, alikiri kwa wapelelezi jinsi alivyowaua ndugu zake, mmoja akiwa na umri wa miezi 15, […]
Author: khadija Mbesa
Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]
Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]
Takriban watoto bilioni moja walio na umri wa miaka 2-17 huathiriwa na ukatili wa kimwili, kingono, au kihisia kila mwaka.
mlipuko wa surua nchini Zimbabwe umewaua watoto 157, wengi wao wakiwa hawajachanjwa kutokana na imani za kidini za familia zao.
Kulingana na Save the Children wazazi kutoka kaskazini-mashariki mwa Uganda wanalazimika kuwatuma watoto wao wachanga wa umri wa shule ya awali, shuleni pamoja na ndugu zao ili waweze kushiriki kwenye mlo wa bure shuleni kwani idadi ya familia zisizoweza kumudu chakula nyumbani inazidi kuongezeka. Natalina, aliye na miaka 10, anasoma katika shule ya jumuiya inayoungwa […]
Wazazi wamesema kuwa, huenda wasiwaachilie watoto wao warudi shuleni hadi watakapohakikisha kuwa, hali ya kisiasa ipo salama kwa wanafunzi.
Waziri wa Elimu George Magoha ametangaza kwamba tarehe ya kufunguliwa kwa shule imebadilishwa kutoka Jumatatu 15 hadi Alhamisi 18, 2022.
Wakati familia Nyingi zilizo maeneo ya miji zinakabiliwa na uhaba wa unga, wale walio katika maeneo ya vijijini wanalazimika kuchagua kati ya chakula na mahitaji mengine ya kimsingi.
Mkurugenzi wa Nyumba za watoto, ahukumiwa kwa kunajisi wavulana wanne walio chini ya umri wa miaka kumi.