mtoto.news

Categories
Latest News

Nigeria Agrees to End Child Military Detention

Friday 30th September 2022, the Nigerian government finally signed a “handover protocol” with the UN agreeing that children taken into military custody on suspicion of involvement with Boko Haram should be transferred within seven days to civilian authorities for reintegration. This is an important milestone that will help prevent the military detention of children and ensure […]

Categories
latest latest Latest News Uncategorized

Mombasa: Baba achoma nyumba baada ya kuwanyonga wanawe wawili

Familia moja mjini Mombasa inaomboleza kifo cha watoto wawili wanaodaiwa kunyongwa hadi kufa na baba yao na kuchomwa ndani ya nyumba yao eneo la Bombolulu Workshop. Jason Chacha, mzee wa miaka 55 na baba wa watoto watatu wanasemekana kuwaua watoto hao wawili wenye umri wa miaka 4 na 8 mtawalia Jumatatu saa 2 asubuhi alafu […]

Categories
Health Uncategorized

Ongezeko la kesi za utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa watoto

Inasikitisha sana kuona kwamba kila kukicha kunakuwa na taarifa za kukamatwa kwa wauza dawa za kulevya katika nchini Kenya. Katika mahojiano na Afisa wa Marekebisho ya Gucha, Elijah Omanga, Kenya News Agency,  ilibaini kuwa kuna ongezeko la mara kwa mara la visa vya utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa watoto wanaosoma shule katika eneo […]

Categories
Education Education education

President Ruto’s taskforce to assess the CBC

During his tour in Homabay County, President Ruto pointed out that after a thorough public participation the 42-member taskforce committee formed to assess the CBC curriculum will ensure they make changes in the curriculum. “I formed a special taskforce to look into the CBC curriculum so that the curriculum can help our children and also […]

Categories
Education Education education Entertainment

Kenya: Uzinduzi wa programu ya elimu ya kifedha kwa watoto

Prudential PLC imeshirikiana na kituo cha TV cha watoto cha Akili Kids, ili kutoa ujuzi wa kifedha kwa watoto nchini Kenya, hasa walio na umri wa miaka 7 hadi 12, kwa mnamo wa kila wiki. Mpango huo mpya umezinduliwa kupitia shirika la CSR la kampuni, Prudence Foundation huku ukilenga kufikia zaidi ya watoto milioni sita. […]

Categories
Latest News

Children bear the brunt of climate change

  While the world continues to live with the coronavirus disease, the region of West, East and Central Africa is still challenged by many conflicts, and soon the problem of hunger that fundamentally threatens the future of millions of girls and children. After many years of pushing for the full right to access quality and […]

Categories
Uncategorized

Utahakikishaje kuwa talaka haiathiri maisha ya mtoto wako?

Kulingana na utafiti watu wanne kati ya elfu ulimwenguni waliofunga ndoa wamepitia talaka, na mara nyingi talaka hizi huathiri watoto. Athari za talaka kwa watoto ni nyingi mno, ila utajitahidi vipi katika kuhakikisha kuwa talaka haitamwathiri mtoto wako? La kwanza kabisa, ni kujizatiti katika kutowaangazia watoto kwenye mapigano yasiyoisha, au vita vya chuki vilopita mpaka. […]

Categories
Latest News

A tale of stalled Sh126m Ruai center for street children

About 60,000 children and youth live on the streets of Nairobi and this number is increasing. For many children, their day to day survival can rely on scavenging, begging and picking through rubbish, they are vulnerable and in risk of being subjected to discrimination and marginalization, making it more and more difficult for them to […]

Categories
Latest News

Ruto Ahimiza Juhudi Zilizojumuishwa ili Kupunguza Athari za Mabadiliko ya Hali ya Hewa.

Mabadiliko ya hali ya hewa nchini Kenya yanaendelea kuwaathiri watoto huku wengi wao wakikabiliwa na utapiamlo mkali unaohitaji matibabu ya haraka. Akiongea wakati wa hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa huko New York, Mheshimiwa William Ruto aligusia jinsi maisha ya wananchi yamezorota, haswa baada ya Covid-19 na jinsi mabadiliko ya hali ya […]

Categories
Health Uncategorized

Syria:Mlipuko wa kipindupindu wahatarisha Afya na Elimu ya Watoto

Shirika la Save the Children, lasema kwamba, maelfu ya watoto huko mashariki na kaskazini mwa Syria wako hatarini kutokana na kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa kipindupindu unaosababishwa na uhaba wa maji unaohusishwa na mabadiliko ya hali ya hewa na migogoro na matumizi ya maji machafu kutoka Mto Euphrates. Takriban watu 24 wamefariki kutokana na […]