mtoto.news

Categories
Health Latest News

About a million children under 5 in dire need of malnutrition treatment

As drought continues to worsen in 20 of 23 ASAL (Arid and Semi-Arid Land) counties in Kenya, children and pregnant women are the most at risk of acute malnutrition. Worsening food security situation in most of the households has resulted in acute malnutrition rates across the counties. According to NDMA (National Drought Management Authority) statistics, […]

Categories
Data Stories latest latest Latest News Uncategorized

Pakistan: ‘Zaidi ya watoto milioni tatu wako hatarini’ UNICEF.

Zaidi ya watoto milioni tatu wanahitaji msaada wa kibinadamu na wako katika hatari kubwa ya magonjwa yanayotokana na maji, kuzama na utapiamlo kutokana na mafuriko makubwa zaidi katika historia ya hivi majuzi ya Pakistan

Categories
Data Stories Latest News

Hatua Za Kuhakikisha Usalama wa Watoto walio Katika Jamii Zilizoathiriwa na Hali ya Hewa.

Takriban watoto bilioni moja walio na umri wa miaka 2-17 huathiriwa na ukatili wa kimwili, kingono, au kihisia kila mwaka.

Categories
Data Stories Feature Stories Health Uncategorized

Mgogoro wa Njaa Wawalazimu Watoto Wachanga Kuwaambata Ndugu Zao Shuleni Ili Kupata Mlo

Kulingana na Save the Children wazazi kutoka kaskazini-mashariki mwa Uganda wanalazimika kuwatuma watoto wao wachanga wa umri wa shule ya awali, shuleni pamoja na ndugu zao ili waweze kushiriki kwenye mlo wa bure shuleni kwani idadi ya familia zisizoweza kumudu chakula nyumbani inazidi kuongezeka. Natalina, aliye na miaka 10, anasoma katika shule ya jumuiya inayoungwa […]