Rais wa Kenya, William Ruto, aita wito wa Nchi zote Afrika, katika kuungana mkono ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Mataifa maskini, hasa yaliyomo barani Afrika, yameathiriwa vibaya na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikizidisha ukame na mafuriko. Rais William Ruto amesema kwamba, sasa ni wakati muafaka kwa Afrika kukabiliana na mabadiliko […]
Tag: climate change
Almost half of young people in Africa have reconsidered having children due to climate change according to results from a UNICEF U-Report poll of 243,512 worldwide respondents. Globally, 2 in 5 young people said the impacts of climate change have made them reconsider their desire to start a family. The U-Report poll received responses from […]
Huku ukame unaendelea kuathiri kaunti tofauti tofauti nchini Kenya, watoto ndio wanaoendelea kubeba mzigo mkubwa wa athari za mabadiliko ya hali ya anga.
UNICEF imeonya kwamba, ukosefu wa mvua nchini Kenya kumewasababisha watoto wapatao milioni 1.4 kukosa chakula chenye lishe bora, na maji safi ya kunywa. Watoto hao pia wanakosa elimu, huduma za afya na ulinzi dhidi ya ukatili na kutelekezwa. Turkana ni miongoni mwa kaunti 15 zilizokumbwa na ukame nchini Kenya kutokana na mabadiliko ya hali ya […]
Over 16.4 million or 67 percent of children in Kenya are living with the dual impacts of poverty and the climate change emergency, according to new research by Save the Children. Moreover, 150 million children across East and Southern Africa are also facing the same tragedy of poverty and climate disaster. Kenya ranks 10th highest […]
Takriban watoto milioni 16.4 nchini Kenya, ambayo ni sawa na asilimia 67 ya idadi ya watoto nchini humo, wameathiriwa na umaskini na athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa.
Wakati kikundi kazi cha wanachama 49 kinajadili jinsi ya kurekebisha sekta ya elimu kwa mtaala unaozingatia umahiri kama kazi yake ya kwanza, walimu na wanafunzi katika maeneo ya mbali yaliyokumbwa na ukame wanatatizika kuendana na majukumu mapya kulingana na mtaala. Lakini kazi hizo ni kidokezo tu kwani ukosefu wa vyumba vya madarasa umefanya mchakato wa […]
Shuleni Kavunzoni, watoto wengi wanalilia njaa huku wengi wao wakikosa kuwa makini darasani, ni misimu minne sasa isiyo na mvua mjini Ganze kaunti ya kilifi. Udongo umemumunyuka na ardhi imekomaa, watoto hawapati chajio wala kiamsha kinywa. Imekadiria miaka mitano sasa, ambapo wenyeji hawajaweza kupanda wala kuvuna chochote kile,ila hio ndio hali ambayo watoto kama Moses […]
While the world continues to live with the coronavirus disease, the region of West, East and Central Africa is still challenged by many conflicts, and soon the problem of hunger that fundamentally threatens the future of millions of girls and children. After many years of pushing for the full right to access quality and […]
Mabadiliko ya hali ya hewa nchini Kenya yanaendelea kuwaathiri watoto huku wengi wao wakikabiliwa na utapiamlo mkali unaohitaji matibabu ya haraka. Akiongea wakati wa hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa huko New York, Mheshimiwa William Ruto aligusia jinsi maisha ya wananchi yamezorota, haswa baada ya Covid-19 na jinsi mabadiliko ya hali ya […]