Kufuatia mvua kubwa na mafuriko nchini Sudan, makumi ya maelfu ya nyumba, visima na mashamba ya kilimo yameharibiwa huku familia 80,000 zikihitaji msaada wa kibinadamu makadirio ya Hilali Nyekundu ya Sudan (SRCS). Mashirika ya misaada yameonya kwamba, takriban kila mtoto aliye na umri wa kwenda shule nchini Sudan anakosa elimu, Baadhi ya majimbo nchini Sudan, […]
Tag: Education
Most of us if not all have gone through the hands of teachers who molded us into wonderful human beings by doing tremendous and tedious work. Although they are paid, it can never be enough as they do more than they are paid for. Their commitment and zeal to bring out the best in our […]
The number of children whose education is affected by crisis globally has increased significantly from 75 million in 2016 to 222 million in 2022 according to Save the Children report Build Forward Better 2022. Closure of schools due Covid19 was identified as the main contributing factor to this significant increase of children at risk of […]
During his tour in Homabay County, President Ruto pointed out that after a thorough public participation the 42-member taskforce committee formed to assess the CBC curriculum will ensure they make changes in the curriculum. “I formed a special taskforce to look into the CBC curriculum so that the curriculum can help our children and also […]
Wazazi wengi wameonyesha hasira yao mitandaoni baada ya picha ya wanafunzi wakitoa kuku manyoya kusambaa mitandaoni. Wananchi walionyesha wasiwasi kupitia twitter, huku wakikashifu mtaala wa CBC na wakisema kwamba, usalama wa watoto hao haukuzingatiwa kamwe, kwani kulikuwa na utumiaji wa visu na maji ya moto wakati wa matayarisho hayo ya kuku. I don't like CBC […]
Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]
Ukame mkali katika kaunti ya Marsabit unatatiza masomo ya watoto, huku wengi wao wakilazimika kuacha shule.
Mtaalamu Mwandamizi wa Mpango wa Elimu katika Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO),Saidou Sireh Jallow, aliliambia kongamano la elimu kuwa Kenya imeweka kipaumbele katika uwekezaji wa umma katika elimu, hii ikisababisha mwelekeo wa kupanda kwa viashiria vingi vya maendeleo ya elimu. . […]
Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]
Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]