mtoto.news

Categories
Climate Change Latest News

Watoto Asilimia 28 Wahangaishwa na Utapiamlo Kaunti ya Taita Taveta

Mabadiliko ya hali ya hewa bado yanaendelea kuwa mwiba mchungu katika maeneo tofauti tofauti ya Kenya. Taita Taveta ni miongoni mwa Kaunti ambazo zinakubwa na athari hizi za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukosefu wa maji na chakula kutokana na kukauka kwa vyanzo vya maji katika Kaunti hiyo, kumewalazimisha wakaazi wa eneo hilo kusafiri kwa […]

Categories
Data Stories Health

Samburu Yaongoza kwa Idadi ya Mimba za Utotoni: Ripoti ya KDHS 2022

Kulingana na ripoti ya KDHS iliyotolewa leo, Kaunti ya Samburu inaongoza na asilimia 50 ya mimba za utotoni, huku Kaunti ya Nyeri na Nyandarua ikiwa na asilimia 5. Ripoti hiyo iliyofanywa na Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya Nchini Kenya(KDHS),  kuanzia Februari 17 hadi Julai 13, 2022, ilihusisha takriban kaya 37,911. Ripoti hiyo imeangazia […]

Categories
Health Latest News

Watoto walio katika maeneo ya vijijini kupata chanjo ya surua

Washirika wa afya wako tayari kutumia mkakati wa chanjo ya nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha watoto walio katika maeneo ya mbali wanapokea dozi za surua-rubela. Wizara ya Afya kwa ushirikiano na Unicef ​​na Gavi wanaendesha kampeni ya siku 10 ya chanjo katika kaunti saba zilizo hatarini zaidi za Mandera, Wajir, Garissa, Turkana, Pokot Magharibi na […]

Categories
Data Stories

Data ya MoH : Kiwango cha vifo vya watoto wachanga kimepungua

Kumekuwa na upungufu kwa asilimia 30 kwa idadi ya watoto wanaokufa kabla ya kufikisha miaka mitano. Hii imechangiwa na kuongezeka kwa unywaji wa ORS na Zinki kwa ajili ya udhibiti wa kuhara kwa watoto walio chini ya miaka mitano na kuboreshwa kwa unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee. Kuanzishwa kwa chanjo mpya za utotoni kama […]

Categories
Latest News

Safaricom Kutambulisha Nambari Za Simu Kwa Watoto na Vijana

Safaricom itatambulisha nambari za simu kwa vijana, na kuwaruhusu kuokoa pesa kutumia M-Pesa, kutuma ujumbe mfupi na hata kupiga simu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Telco (Mkurugenzi Mtendaji) Peter Ndegwa, hata hivyo, alisema kwamba, nambari hizo zitasajiliwa chini ya maelezo ya wazazi. Kuanzishwa kwa laini hii, kutawawezesha vijana kupata huduma muhimu kama vile M-Pesa, na hivyo […]

Categories
Education Education education Latest News

Ushirikishwaji wa umma katika marekebisho ya mtaala unaozingatia umahiri(CBC)

Mtaala unaozingatia umahiri ulichukua nafasi kubwa Mjini Lodwar wakati wa kongamano la ushiriki wa umma  lililoitishwa na Chama cha Rais kuhusu Marekebisho ya Elimu. Timu inayoongoza ya Prof Raphael Munavu ilisikiliza kwa makini wananchi walio na shauku, hasa washikadau wa elimu walipokuwa wakitoa maoni yao kuhusu mageuzi ya elimu. Prof Munavu alisema kwamba, chama cha […]

Categories
Data Stories Health Uncategorized

Kenya: Ukosefu wa mvua, unyanyasaji wa nyumbani na utapiamlo

UNICEF imeonya kwamba, ukosefu wa mvua nchini Kenya kumewasababisha watoto wapatao milioni 1.4 kukosa chakula chenye lishe bora, na maji safi ya kunywa. Watoto hao pia wanakosa elimu, huduma za afya na ulinzi dhidi ya ukatili na kutelekezwa. Turkana ni miongoni mwa kaunti 15 zilizokumbwa na ukame nchini Kenya kutokana na mabadiliko ya hali ya […]

Categories
Data Stories Health Uncategorized

Kenya: Watoto milioni 16 hatarini kutokana na umaskini na mabadiliko ya hali ya hewa

Takriban watoto milioni 16.4 nchini Kenya, ambayo ni sawa na asilimia 67 ya idadi ya watoto nchini humo, wameathiriwa na umaskini na athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa.

Categories
Education Education education Latest News

Makali ya Njaa yawaweka watoto nje ya madarasa

Shuleni Kavunzoni, watoto wengi wanalilia njaa huku wengi wao wakikosa kuwa makini darasani, ni misimu minne sasa isiyo na mvua mjini Ganze kaunti ya kilifi. Udongo umemumunyuka na ardhi imekomaa, watoto hawapati chajio wala kiamsha kinywa. Imekadiria miaka mitano sasa, ambapo wenyeji hawajaweza kupanda wala kuvuna chochote kile,ila hio ndio hali ambayo watoto kama Moses […]

Categories
Uncategorized

The Boy Child and The Silent Crisis

October 11th of every year is the International day of the child. The world comes together to commemorate the steps made in empowering and securing the girl child. May 16th of each year has been observed as International Day of the Boy Child. This is a day dedicated to the whole world to focus on […]