Mtaalamu Mwandamizi wa Mpango wa Elimu katika Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO),Saidou Sireh Jallow, aliliambia kongamano la elimu kuwa Kenya imeweka kipaumbele katika uwekezaji wa umma katika elimu, hii ikisababisha mwelekeo wa kupanda kwa viashiria vingi vya maendeleo ya elimu. . […]
