mtoto.news

Categories
Uncategorized

Je malezi ya mtoto nyumbani ni bora kuliko ya taasisi za watoto?

Kwa Sheria mpya ya Watoto na miongozo, serikali inadokeza kwamba familia ni mazingira ya malezi na ya kujali na ni mahali pazuri pa kumlea mtoto. Hivi sasa kuna usitishaji wa usajili wa taasisi mpya na Sheria ya Mtoto, 2022 inayotoa kipaumbele kwa matunzo mbadala ya kifamilia, tofauti na kukuzwa kwa watoto katika Makazi ya Watoto. […]

Categories
Health Latest News

About a million children under 5 in dire need of malnutrition treatment

As drought continues to worsen in 20 of 23 ASAL (Arid and Semi-Arid Land) counties in Kenya, children and pregnant women are the most at risk of acute malnutrition. Worsening food security situation in most of the households has resulted in acute malnutrition rates across the counties. According to NDMA (National Drought Management Authority) statistics, […]

Categories
Education Education education Latest News

Wazazi waghadhabishwa na picha za watoto wakitoa kuku manyoya wakati wa mafunzo ya CBC

Wazazi wengi wameonyesha hasira yao mitandaoni baada ya picha ya wanafunzi wakitoa kuku manyoya kusambaa mitandaoni. Wananchi walionyesha wasiwasi kupitia twitter, huku wakikashifu mtaala wa CBC na wakisema kwamba, usalama wa watoto hao haukuzingatiwa kamwe, kwani kulikuwa na utumiaji wa visu na maji ya moto wakati wa matayarisho hayo ya kuku. I don't like CBC […]

Categories
Education Education education latest latest Latest News

Ni Ipi Hatima ya CBC Baada ya William Ruto Kuapishwa?

Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]

Categories
Data Stories Latest News

Akamatwa kwa Tuhuma za Usafirishaji Haramu wa Watoto

Polisi nchini Nigeria wamemkamata mwanamke mwenye umri wa miaka 44 kwa tuhuma za wizi wa watoto 15 katika jimbo la kusini la Rivers. Polisi wanasema kwamba, watoto hao walitekwa nyara ili kuuzwa na mwanamke huyo , ambaye alidai kuwa yeye ni mtawa anayeendesha kituo cha watoto yatima. Watoto hao wanaripotiwa kuwa na umri wa kati […]

Categories
Data Stories latest latest Latest News Uncategorized

Pakistan: ‘Zaidi ya watoto milioni tatu wako hatarini’ UNICEF.

Zaidi ya watoto milioni tatu wanahitaji msaada wa kibinadamu na wako katika hatari kubwa ya magonjwa yanayotokana na maji, kuzama na utapiamlo kutokana na mafuriko makubwa zaidi katika historia ya hivi majuzi ya Pakistan