Zaidi ya watoto milioni 3.5 nchini Kenya wako kwenye hatari ya kukosa kuenda shule wakati zitakapofunguliwa kwa muhula wa kwanza hapo Januari mwaka ujao kwa sababu ya ukame unaoendelea, shirika la misaada ya kibinadamu la Save the Children limesema. Utafiti wa 2021 wa Global Out of School Children Initiative ulibaini kuwa kuna zaidi ya […]
Author: khadija Mbesa
Ruto Aahidi Kutokomeza Ukeketaji
Rais William Ruto amesisitiza dhamira ya serikali ya Kenya Kwanza katika kutokomeza ukeketaji hadi mwisho wa kipindi chake. Akizungumza siku ya Jumatatu, Ruto amesema kwamba, kesi za ukeketaji katika kipindi chake zitaondolewa. “Ninakubaliana na CJ Martha Koome kwamba hatufai kuwa na mazungumzo kuhusu ukeketaji nchini Kenya katika Karne ya 21,” alisema. “Ninataka kuwahakikishia uungwaji […]
Takriban wasichana 317 wajawazito ni miongoni mwa maelfu ya watahiniwa wanaofanya mtihani wa Kutathmini Elimu ya Shule ya Msingi ya Kenya (KPSEA) na Cheti cha Elimu ya Msingi ya Kenya (KCPE) katika kaunti za South Rift. Jumla ya watahiniwa 292 wajawazito wanatoka katika kaunti ya Baringo, Bomet na Narok, huku wasichana 25 wajawazito wanatoka katika kaunti […]
Kulingana na baraza la DRC (Danish Refugee Council), watu Milioni 2.1 kwa sasa wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika maeneo ya wafugaji kaskazini mwa Kenya. Viwango vya utapiamlo vinaongezeka kwa kasi, huku ikijumuisha takriban watoto 652,960 wenye umri wa miezi 6-59 na wanawake 96,480 wajawazito na wanaonyonyesha wanaohitaji matibabu ya utapiamlo uliokithiri (data ya […]
Wanafunzi wote washarudi majumbani mwao kwa likizo ndefu ambayo inakusudiwa kumalizika mwisho wa January mwaka Ujao. Hofu na wasiwasi unaongezeka juu ya utovu wa nidhamu wa watoto wakati huu wa likizo ndefu kwani mara nyingi shule huwafanya watoto kuwa na shughuli nyingi na huwaweka mbali na maovu, na hivyo kupunguza shinikizo kwa wazazi. Na hivyo, […]
Kamishna wa Kaunti ya Laikipia, Joseph Kanyiri, amesema kwamba, ombaomba hao walio na umri mdogo wanaaminika kutoka nchi jirani na wengi wao wanapatikana katika miji ya Nyahururu na Nanyuki. “Wamekuwa kichocho na hata wafanyabiashara wanalalamika kwa uwepo wao, kwani wanakaribia wanunuzi nje ya maduka makubwa wakiwa na bakuli za kuomba na wengi wao wanaendeshwa na […]
Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta Jumanne alienda karibu na eneo la vita huko Goma na Rutshuru, Kivu Kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo aliwasihi wapiganaji kukomesha vita huku akikutana na watu waliokimbia makazi yao wakitoroka mapigano. Bw Kenyatta, ambaye ni mpatanishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yenye nchi saba, alialikwa […]
Kumekuwa na upungufu kwa asilimia 30 kwa idadi ya watoto wanaokufa kabla ya kufikisha miaka mitano. Hii imechangiwa na kuongezeka kwa unywaji wa ORS na Zinki kwa ajili ya udhibiti wa kuhara kwa watoto walio chini ya miaka mitano na kuboreshwa kwa unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee. Kuanzishwa kwa chanjo mpya za utotoni kama […]
Safaricom itatambulisha nambari za simu kwa vijana, na kuwaruhusu kuokoa pesa kutumia M-Pesa, kutuma ujumbe mfupi na hata kupiga simu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Telco (Mkurugenzi Mtendaji) Peter Ndegwa, hata hivyo, alisema kwamba, nambari hizo zitasajiliwa chini ya maelezo ya wazazi. Kuanzishwa kwa laini hii, kutawawezesha vijana kupata huduma muhimu kama vile M-Pesa, na hivyo […]
Mkakati wa Marekebisho ya Utunzaji uliopangwa wa miaka 10 unalenga kutoa masuluhisho mbadala kwa malezi ya watoto na kutilia mkazo ukweli kwamba familia itasalia kuwa kitengo muhimu katika malezi ya mtoto. Mkurugenzi msaidizi anayeshughulikia Malezi na Mageuzi katika Kurugenzi ya Huduma za Watoto Jane Munuhe amesema kwamba, serikali imetunga sheria mpya. Akizungumza mjini […]